Juve Imekubali Kutoa Pauni Milioni 80 Kumchukua Arthur Melo

Kwa mujibu wa Sky Sports Juventus wamekubaliana na Barcelona kulipa ada ya € 80m kwa ajili ya usajili wa kiungo Arthur Melo, katika mpango ambao unaweza kufuatwa na uhamisho wa Miralem Pjanic kwenda Camp Nou.
Arthur Henrique Melo anayejulikana kama Arthur alizaliwa 12 Agosti 1996 na ni mchezaji wa soka mwenye asili ya Brazil anaecheza kama kiungo kwenye klabu inayoshiriki ligi kuu nchini Hispania Laliga akitokea kwenye akademi ya kukuza vipaji vya michezo ya Gremio Mwaka 2017. Alisajiriwa na Barcelona kwenye dirisha la usajili 2018/2019.

Licha ya Arthur kupendelea kubaki Barcelona, Juve inatarajia kumshawishi kiungo huyo kutokana na kocha Maurizio Sarri kuwa na mpango wa kuhimalisha safu ya kiungo kwa kumtumia Arthur kama alivyofanya akiwa na Jorginho wakati wake huko Napoli na Chelsea.

Juventus wametoa ofa ya mshahara mnono takribani €5m kwa mwaka kumnasa Mbrazil huyo mwenye umri wa miaka 23, ambayo ni malipo makubwa zaidi ukilinganisha na pale Barcelona.

47 Komentara

    Itakuwa vizuri sana

    Jibu

    Duuuu wamefanya jambo la maana sana

    Jibu

    Haende tu hiyo ndio faida ya kuwa mchezaji mzuri na ndio faida ya kutafuta mashabiki na umaarufu /ustaa/unaanzia hapo

    Jibu

    kiwango chake kinaendana na iyo ela…?

    Jibu

    Dahhh pesa madafu

    Jibu

    Pesa ndo mpango mzima wamchukue tu

    Jibu

    Aisee pesa Kama zote

    Jibu

    hiyo ndio faida ya kuwa mchezaji mzuri#meridianbettz

    Jibu

    Itakuwa vizuri

    Jibu

    Habari nzuri kwa mashabiki wa juve

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa soka

    Jibu

    Wazee wa dezo sasa hivi wanasajiri kwa hela ndefu kiasi hicho! Siku zote Juventus husajiri wachezaji waliomaliza mikata kwenye timu za awali#meridianbettz

    Jibu

    Habari nzuri Sana👏

    Jibu

    Kwa dau hili Lazima Ataenda tu#Meridianbettz

    Jibu

    Madau yao yanawashawish sana wachezaji

    Jibu

    Atua njema kwa juve maana usajili mwingi uwa haufanikiwi

    Jibu

    Wazee wa kitonga mtelezo sasa hivi wanasajiri kwa hela ndefu Siku zote Juventus husajiri wachezaji waliomaliza mikataba na timu zao#meridianbettz

    Jibu

    Yani juve wanafosi kuwasajili wachezaji wazuri ili wachukue UEFA lakini wanashindwa

    Jibu

    Mngekua mnatusaidia kubadilisha hizo pesa kutoka kwenye pauni au Euro kuja kwenye shilingi ili tuelewe zaidi!

    Hongereni sana Juve

    Jibu

    Kiungo fundi huyo..juve wamelamba dume#meridianbettz

    Jibu

    Kiungo mzur na bado umri ni mdgo ana safari ndefu kimichezo

    Jibu

    Itakuwa vizuri

    Jibu

    Aurth melo n bonge la mchezaji anastahil kupewa thaman kubwa sana 👍
    maana yuko vzur sana huyu jamaa tumeshaona maajabu yake akiwa Brazil
    pia ataakiwa Barcelona tunatambua uwezo wa huyu kiungo
    hivyo kwenda kwake Juventus atakuwa ameenda kuziba pengo na kumfaya cr 7 afanye maajabu makubwa sana
    kitendo cha Mauricio kukubal kumwachia melo kutaifanya juve kurud nafasi nzur katika msimu ujao
    N habar njema sana 👍
    # meridianbet Tanzania

    Jibu

    Safi sana wamefanya vizuri sana

    Jibu

    Ni safi atasaidia kwa nafasi ya kiungo pia ni mchezaji mzuri sana kwa nafasi hiyo alionekana pia akiwa barrcelona

    Jibu

    Kila la kheri

    Jibu

    Gud newz

    Jibu

    hivyo kwenda kwake Juventus atakuwa ameenda kuziba pengo na kumfaya cr 7 afanye maajabu makubwa sana
    kitendo cha Mauricio kukubal kumwachia melo kutaifanya juve kurud nafasi nzur katika msimu ujao
    N habar njema sana 👍

    Jibu

    Jamaa atakuwa anafanya maajabu sana ndio maana wamempitisha.

    Jibu

    Watu na pesa zao

    Jibu

    Anastahili kupewa thamani hiyo maana yupo vizuri

    Jibu

    Mchezaji mzuri lazima dau Liwe nono…

    Jibu

    Duu hyo mbona pesa nyingi au kulingana na kupanda kwa thaman ya wachezaj kwa sasa kwenye soko ila n mchezaj mzr sana

    Jibu

    Watu wengi wamekuwa wakimuongelea Miralem Pjanic kama sio mchezaji sahihi kuchezea Barca zaidi wamekuwa wakitoa maoni kwamba Ratic, Vidal na Griezman kuuzwa na kutafuta wachezaji bora zaidi.

    Jibu

    Maoni:Ilindio jambo la muhimu

    Jibu

    Duh PSG wanaela Sana na Corona hii

    Jibu

    Ee habari njema#meridianbett

    Jibu

    Itakuwa njema

    Jibu

    Akajitahidi kuonyesha maajabu uwanjani kama juve ilivyojitolea kumsajiri kwa pesa ndefu

    Jibu

    Ni Jambo zuri sn

    Jibu

    Juve wako vizuri

    Jibu

    Pesa nyingi sana hzo, cdhani kama arthur ana thaman hyo

    Jibu

    Itakuwa vizuri sana

    Jibu

    Nihabari njema sanaaa

    Jibu

    Habari nzuri.

    Jibu

    Itakuwa poa sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.