Giroud ni Bora Kuliko Abraham - Hasselbaink

Olivier Giroud amevuta hewa safi kwenye kikosi cha Chelsea na Tammy Abraham anatakiwa ajifunze kutoka kwa Mfaransa ambaye anaonekana kurejea kwenye kiwango chake, amesema Jimmy Floyd Hasselbaink.

Abraham alikuwa chaguo la kwanza kama mshambuliaji wa kati kwa Chelsea katika nusu ya kwanza ya msimu, lakini amepoteza nafasi yake kwa Giroud baada ya kurejea kutoka kwenye majeraha. Lakini umekuwa na msimu mzuri kwa Muingereza huyo, kwa mara ya kwanza anaingia Chelsea na kujihakikishia namba kwenye kikosi cha Lampard na kufunga magoli 14 katika msimu huu.

Japo, Giroud anang’aa sasa, amefunga magoli matatu katika mechi nne zilizopita na Hasselbaink ana kitu cha ziada katika timu kuliko Abraham, pamoja na magoli.

‘Kitaalamu Giroud ni mzuri hasa kwa namna anavyotembea au kukimbia,’ alisema Hasselbaink. ‘Kama utatazama goli lake, yupo na mabeki lakini alifunga goli, anauwezo wa kuhisi wapi mpira utatua na hisia zake hazimdanganyi.

46 Komentara

    Ilikuwa ni nzuri kwa chelsea kumuongezea mkataba itawasaidia kina Abraham na werner kujifunza kitu kwa Giroud mwenye uzoefu na Epl

    Jibu

    Giroud yupo poa sana wamefanya vizuri Chelsea kumuongezea mkataba ni mfano wa kuigwa sana kiwango chake kinazidi kuwa juu kila siku

    Jibu

    Anastaili kuongezewa muda kutokana na kujituma wake

    Jibu

    Namkubali sana uyu jamaa#Meridianbettz

    Jibu

    Yuko vizuri sana huyu jamaa

    Jibu

    Anastahili sifa

    Jibu

    Giround amekuwa na michango mkubwa Chelsea

    Jibu

    Anatakiwa apate muda wa kutosha

    Jibu

    Anajitaid sana

    Jibu

    mbona kamsifia sana .

    Jibu

    Anastahili apate muda wa kutosha#meridianbettz

    Jibu

    Ni jambo jema kama watamuongezea mkataba

    Jibu

    Jamaa yuko vizuri ni vema wakampa muda kidogo

    Jibu

    Yuko vizuri sana

    Jibu

    Yuko poa sana namkubali

    Jibu

    Yupo vizuri sana uyo jamahaa

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Nimchezaji mzuri sana#meridianbett

    Jibu

    Jamaa yupo vizur

    Jibu

    Giroud anatumia ukongwe wake kwenye kufanya kazi lakini lazima tukubali kuwa anajua kufumania nyavu kwa syle ambayo watu wengi tumebaki midomo wazi, Kwasasa Chelsea wanaseza kumtumia kwenye mechi ili kuwapa matokeo

    Jibu

    Anastahili sifa

    Jibu

    Giroud tokea aondoke arsenal kwenda Chelsea kapoteza maajabu sana na aliwika kipind cha harzad ila sasa tunamuona hana kitu kabisa na now ameshazeeka tena anacheza kimazoea tofaut na Abraham yuko vzur sana

    Jibu

    Olver yupo poa sana pia anauzoefu mkubwa sana kwenye ligi ya EPL licha ya hiyo pia anafanya vizuri kwenye eneo lake la ushambuliaji pia hivyo hivyo kwa abraham anafanya vizuri sana me naamini abraham atafanya vizuri sana kuliko oliver giroud

    Jibu

    Hongera Giroud.

    Jibu

    Giroud ni mchezaji mzuri sana na anajituma mnoo awapo uwanjani

    Jibu

    vzr

    Jibu

    Giroud ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Olivier Giroud yuko vizuri

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Kwer kabx

    Jibu

    Oliver giroud mtu hatar sana kwa striker kwa kati akisimama

    Jibu

    Jamaa anajuaa

    Jibu

    Yp yupo vzr kabisa kuliko abraham

    Jibu

    Kweli kabsaa

    Jibu

    Kihalisia jamaa yuko vizuri Sana ni vema Chelsea wakamuongezea mkataba

    Jibu

    So kweli huwezi kufananisha mzee na kijana hapo unatudanganyaa

    Jibu

    Abraham ni utopolo kabisa mvivu hajui kucheza na nafasi na pia ni mbinafsi

    Jibu

    Chelsea wamefanya vizuri kumuongezea mkataba giroud

    Jibu

    Anastahili sifa njema

    Jibu

    Abraham chaguo la kwanza kama mshambuliaji wakati wa Chelsea kumuongezea mkataba kwake hinaonesha jinsi gani bado hanaumuimu kwenye clabu hiyo

    Jibu

    Abraham bado kinda na Giroud ni mzoefu. Abraham anatakiwa kuendelea kujifunza kupata mafanikio yanayohitajika.Hasselbaink yupo sahihi#meridianbettz

    Jibu

    Ni mtazamo wake

    Jibu

    Yuko sahihi giroud anamafanikio makubwa kwenye vilabu alivyopitia na hata kwenye mechi ya taifa kwaiyo anauzoefu mkubwa Sana.

    Jibu

    Giroud anatisha sana

    Jibu

    Giroud yupo vibaya#Meridianbettz

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.