Paulo Fonseca- Zaniolo Hauzwi.

Kocha mkuu wa klabu ya Roma, Paulo Fonseca amesema timu hiyo ya Serie A haina mpango wa kumuuza nyota wake Nicolo Zaniolo hali ya kuwa taarifa za uhamisho wa nyota huyo kuzagaa.

Zaniolo amekuwa akicheza katika kiwango kizuri tangu ajiunge na ligi hiyo akitokea kwa mahasimu wa Serie A Inter Milan mwaka 2018, na kujitengenezea ufalme wa kuwa mchezeshaji katika timu ya Giallorossi na Italy

Lakini kiungo mshambuliaji huyo, aliye rudi kutoka kwenye kuuguza majeraha ya goti mwezi huu amekuwa akihusishwa na kutimkia katika ligi ya Premier League na timu ya Jose Mourinho Tottenham imekuwa ikihusishwa na kumsajili kiungo huyo lakini Inter na Juventus pia wanahitaji saini ya mchezaji huyo.

Fonseca amekataa kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 na roma wanatarajia kumpa dili nyingine mchezaji huyo aliyefunga kwenye mchezo dhidi ya SPAL na Roma kuibuka na ushindi mnono wa 6-1.

“Hatutaki kumuuza Zaniolo au Lorenzo Pellegrini,” Fonseca aliiambia Sky Sports Italia.
“Ni wachezaji muhimu sana kwa malengo ya Roma ya baadaye.”

Zaniolo alitokea benchi baada ya dakika ya 11 ya kipindi cha pili na kufunga goli safi dakika ya 90 kwenye ushindi wa 6-1 katika Serie A wakiwa ugenini kwa mara ya kwanza tangu 1935.

Kulikuwa na mazungumzo ya kuwa Zaniolo hana furaha akiwa Roma pia kumekuwa na tetesi kuwa Zaniolo anamwaruzano na Fonseca.

 


 

Kwa sababu ya thamani ya pesa yako, kwa kila muamala unaofanya wa kuweka pesa kwenye akaunti yako ya Meridianbet unapata 5% bonasi.

Soma hapa zaidi

55 Komentara

    Zaniolo endelea kutimiza ndoto zako hata kama uvumi unazagaa vipi mtaani kuwa wewe unauzwa nakukubali sana

    Jibu

    Ipo poa sanaa hii

    Jibu

    Kocha yupo sahihi zaniolo anamchango mkubwa sana Roma hawawezi kumuuza

    Jibu

    Kama Paulo Fonseca ataangalia future yake zaidi itakuwa ngumu sana kwa yeye kubakia ndani ya kikosi cha Roma.

    Jibu

    Kocha nzuri sana na anajutoa sana Roma

    Jibu

    Wamuachie na yy anafuture yake mbeleni sio kila siku ataichezea Roma

    Jibu

    Unapotaka kujenga timu kubwa ya ushindi ni vema kutouza wachezaji watakaofanya ufikie lengo hilo#meridianbettz

    Jibu

    Hawawez kumtoa ana mchango mkubwa sio rahisi kumpoteza

    Jibu

    Roma bado wana kazi naye kwa hiyo ni vigumu kumuuza

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Iko poa sana hii

    Jibu

    Wameona anaumuhimu katika timu kocha anajua kama katika wachezaji ambao wanafanya vizuri zaidi nae ni miongoni mwao ndio mana hawezi kuunzwa

    Jibu

    Ipo poa hii

    Jibu

    Zaniolo ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Zaniolo hatari sana Roma wamefanya la
    Maana sana kutomuuza

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Iko pw sana hii#Meridianbettz

    Jibu

    Zaniolo baki roma upige mpira

    Jibu

    iko poa sana

    Jibu

    Lakini kiungo mshambuliaji huyo, aliye rudi kutoka kwenye kuuguza majeraha ya goti mwezi huu amekuwa akihusishwa na kutimkia katika ligi ya Premier League na timu ya Jose Mourinho Tottenham imekuwa ikihusishwa na kumsajili kiungo huyo lakini Inter na Juventus pia wanahitaji saini ya mchezaji huyo.

    Jibu

    Huu mchezo wa kuuza wachezaji hovyo ndio unafanya timu kuyumba.

    Jibu

    kama anamchango mkubwa kweny timu kwann auzwe

    Jibu

    Safi sana kocha ..bora abaki jamaa anajua

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Sema hao wachezaji wanaiweza ligi ya huko tu Italy wakitoka nje ya hapo hamna kitu

    Jibu

    Kila mchezaj yupo sokon kikubw hapo dau la makubaliano baina ya club na club na kufikiah muafaka pesa ndo kila kitu

    Jibu

    Asante Meridianbet kwa makala kama hii

    Jibu

    Safi koch

    Jibu

    Nivigumu kumuuza Roma wanamkubali sana#meridianbett

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Ni kocha mzur Sana uyo jamaa.namkubar

    Jibu

    Ujue hapa tunaona Kuna makundi mawili upande wa Paulo Fonseca kocha na upande wa wakala wa zaniolo maana hizi tetesi zilikuwa kabla ajapata majeruh stil now linaendelea kusemekana linawezekana likawa kwel ila wanatuficha maana kiungo huyu ntamtambua tokea akiwa club ya inter milan alivyokuwa anafanya maajabu mpk kuingia roma ila ukwel anatambua wakala wake na yeye mwenyew

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Nikocha mzuri anajuwa majukumyake

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Hyo ni taarifa njema kwa shabiki wa fc roma

    Jibu

    Maoni:Good news

    Jibu

    Ndowakomalie kisawasawaa asiuzwe huyo mchezaji

    Jibu

    Zaniolo yupo vizuri

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Kocha kama kocha yupo kwa ajili ya kujenga timu na sio kumzuia mchezaji mahamuzi so Roma bado wanamuitaji sana zaniolo lakini inaonekana kama mchezaji huyo hafurahii kubaki kwenye clabu hiyo

    Jibu

    Zaniolo yuko vizuri ni bora abaki hapo hapo kocha amefanya maamuzi mazuri

    Jibu

    Zaniolo yupo vizuri sana#meridianbettz

    Jibu

    Zaniolo anajua mpira akibaki hapo hapo ili club ipande daraja

    Jibu

    Zaniolo kiungo mshambuliaji mzuri sana

    Jibu

    Mchezaji mzuri so bado anaitajika

    Jibu

    Mchezaji mzuri bado anaitajika

    Jibu

    Yupo sahihi kabisah

    Jibu

    Zaniolo ni bonge la mchezaji afai ila abaki roma

    Jibu

    Axante kwa taarifa nzur

    Jibu

    Still wanahitaji huduma yake clubuni hapo.

    Jibu

    Ni Jambo zuri sanaa Kama watambakiza kwa Sababu mfumo wa kuuza wachezaji hovyo ni hatari kwa timu husika

    Jibu

    Zaniolo Nyota inawaka bwana #Meridianbettz

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.