Arteta: Msinifananishe mimi, Lampard na Guardiola

Msifananishe Lampard na mimi dhidi ya Guardiola na Klopp

Meneja wa Arsenal, Mikel Arteta amesema kuwa yeye na mwenzake wa Chelsea, Frank Lampard bado wana safari ndefu kufikia viwango vya Jurgen Klopp wa Liverpool and Pep Guardiola wa Manchester City.

Anasema kuwa kutokana na kazi yao, ni mapema sana kufananisha kazi yao na kazi ya mameneja wenzao wa Liverpool na Man City. Hii ni kutokana na mtzamo kuwa yeye na Lampard wanaweza kuwa Pep Guardiola na Jurgen Klopp wajao.

Kwa Arteta, hii ni mapema mno kuwafananisha namna hii. Arteta na Lampard wanakutana uso kwa uso kwenye Fainali ya Kombe la FA, pale Wembley wakati wakijaribu kuchukua taji lao la kwanza katika mwaka wao wa kwanza wa ukocha.

Arsenal wamemaliza msimu wa Ligi Kuu wakiwa katika nafasi ya 8, lakini walionekana kujiboresha zaidi hasa katika mechi dhidi ya Manchester City kwenye Nusu Fainali ya FA. Wakati Lampard aliwasaidia Chelsea kumaliza katika 4 bora.

Ushindi wa FA Cup kwa yeyote kati yao itakuwa ni hatua muhimu katika safari yao kama mameneja.


 

Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.

Cheza Hapa Sasa

36 Komentara

    Arteta ni noma

    Jibu

    Arteta tunasubiri uvunje record ya ubingwa kwenye EPL ndo tukufananishe sasa

    Jibu

    Arteta ni hatari

    Jibu

    tunachosubiria kuona ni vitendo na si maneno thibitisha kauli yako leo mchezoni

    Jibu

    Hapa me nangojea matokeo Arteta afanye kwel siku ya kesho

    Jibu

    Arteta ni noma

    Jibu

    Arteta mtu makin

    Jibu

    Arteta bado anasafari ndefu Sana ya kufanya vizuri katika kufundisha mpira maana Kama anataka kupata mafanikio inabidi apambane kweli

    Jibu

    arteta ni kocha mzuri binafsi naunga mkono maneno yako yupo sahihi sana

    Jibu

    Anachosema arteta ni kweli kabisa wala hajakosea

    Jibu

    Arteta ni noma#Meridianbettz

    Jibu

    Tunasubilia matokeo tu maneno yasiwe mengi

    Jibu

    Arteta tunasubiri uvunje rekodi ya
    Ubigwa#meridianbettz

    Jibu

    Arteta ni noma

    Jibu

    Matokeo ndo kitu muhmu kuliko maneno

    Jibu

    Mechi ya leo ni muhimu mno kwao kama managers na timu wanazowakilisha. Hamu ya wapenda soka kuona mbinu sahihi za ushindi na burudani#meridianbettz

    Jibu

    Arteta tunasubili tuone kwa hamu hatutaki maneno#meridianbettz

    Jibu

    Mpira dakika 90 tunazisubir tuone nani noma maneno yasiwe mengi

    Jibu

    Ha ha ha ha Arteta ndo kashasema

    Jibu

    Arteta noma

    Jibu

    Nimefurahi kuona Arteta akiheshimu Ubora wa Klopp na Pep kwenye swala la mafanikio na ubora

    Jibu

    Nyie pambaneni na hali zenu msije mkajifanani klopp manakiwa mkaze buti ndio mfikie kiwango cha klopp

    Jibu

    Arteta yuko sahihi kwa mtazamo wake kwani wao ni makocha makinda kabisa na wanasafari ndefu yakuja kuwathibitishia ulimwengu kua ni makocha wakubwa sasa.

    Jibu

    Kwa nafasi waliyo kua nayo arsenal kwa sasa arteta hana staili kufananishwa na kocha wa Liverpool clopp kwani hinaonesha mbinu zake zote ni kufikia levo hiyo

    Jibu

    Lampard yuko vizuri

    Jibu

    Arteta Hana hitaj muda kufananishwa na wakal Kama hao

    Jibu

    Arteta maneno hayo yamesimama!!!

    Jibu

    Lampard yuko vizuri sana

    Jibu

    Na kwann ufananishwe

    Jibu

    Lampard yuko vizuri sana.

    Jibu

    Yupo unique

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Arsenal wamemaliza msimu wa Ligi Kuu wakiwa katika nafasi ya 8, lakini walionekana kujiboresha zaidi hasa katika mechi dhidi ya Manchester City kwenye Nusu Fainali ya FA. Wakati Lampard aliwasaidia Chelsea kumaliza katika 4 bora.

    Jibu

    Kocha wa asernal atamba sasa ivi

    Jibu

    aterta mtu mbaya

    Jibu

    Yupo sahihi kabisa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.