Maddison Aongeza Mkataba Leicester City

Kiungo Mshambuliaji wa klabu ya Leicester City, James Maddison amekubali mkataba mpya wa miaka minne, ukimbakiza kwenye Klabu hiyo hadi 2024. inaeleweka kuwa mkataba huo ni wa zaidi ya Pauni 110,000 kwa wiki na unatarajiwa kuthibitishwa katika siku zijazo.

Habari hizo zitakua njema zaidi kwa meneja wa The Foxes, Brendan Rodgers baada ya klabu hiyo kushindwa kupata nafasi ya kushiriki katika Ligi ya Mabingwa msimu ujao kufuatia kupoteza mechi dhidi ya Manchester United siku ya mwisho ya msimu – Hiyo iliibuka uvumi kuwa wachezaji wake nyota mbioni kutimka akiwemo Maddison.


Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 alikosa michezo ya mwisho ya msimu baada ya kufanyiwa upasuaji mdogo wa nyonga. Msimu huu Kafunga magoli sita na assists tatu ndani ya Premier League Akicheza mara 31.

Kwasasa, Leicester ina shaka juu ya hatma ya beki wao Ben Chilwell, ambaye ni kama Maddison, alikosa mwisho wa msimu, na jeraha la kisigino – Chilwell, mwenye umri wa miaka 23 ni zao la Leicester na ana mkataba unaomalizika 2024, lakini amehusishwa sana na kujiunga na Chelsea.


Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.

Cheza Hapa Sasa

30 Komentara

    Maddison alianza msimu viziri sana adi kuifanya Leicester kuonekana timu ya kuogopwa katika ligi ya Uingereza lakini majeraha yalimnyima nafasi ya kuendelea kufanya makubwa zaidi katika klabu yake ya Leicester City.

    Jibu

    Vzur

    Jibu

    Habari njema kwa wana Leicester city.

    Jibu

    Ni habari nzuri

    Jibu

    Hongera James Maddison kwa kuendelea kusalia katika timu yake

    Jibu

    Maddison amekuwa muhimili wa mafanikio ya Leicester ingeshangaza kama hangeongezewa mkataba mpya#meridianbettz

    Jibu

    Madson amekuwa mhimili mkubwa leister

    Jibu

    Habari njema Sana hizi kwa mashabiki wa Leicester

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Hongera sana Maddison

    Jibu

    Habali njema kwetu

    Jibu

    Kihalisi maddison ni mchezaji mzuri Sana sema majeraha huwa yanamwandama sana

    Jibu

    Hapo Sasa zile timu ambazo zilikuwa zinamwiyaji ikiwemo man u washa kwamaa sasa

    Jibu

    Safi sana kwa maddison kuendelea kubak Leicester city

    Jibu

    Leicester wameona umuhimu wa kumbakiza maddison sema tu majeraha yanamsumbua

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema 👍

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Habar njema kila la kheri

    Jibu

    Wazo zuri!!

    Jibu

    safi maddison pongezi zikufikie

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Ukiwataja wachezaji walio fanya vizuri kwenye clabu ya Leicester Madison akosi kwa majeraha alaiyokua nayo saivi sizani kama atakua na kiwango kile cha mala ya kwanza

    Jibu

    Uko vizuri madisoni.

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Wanamkubali sana huyu asingeweza kuondoka

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.