Chilwell Mguu Nje Mguu Ndani Leicester City

Ben Chilwell amepanga kuiambia klabu yake ya Leicester City wiki hii kwamba anataka kujiunga na Chelsea. Kocha wa The Blues, Frank Lampard anatamani kumuongezea Chilwell kwenye beki yake ya kushoto kwenye kikosi chake kuelekea msimu mpya wa PL.

Chilwell, 23, amekuwa Leicester tangu akiwa na umri wa miaka 12 na yuko chini ya mkataba hadi 2024. Lakini sasa anatarajiwa kufanya mazungumzo na Klabu yake ili aweze kujiunga na Chelsea ambayo imefanya Muingereza huyo kuwa chaguo la Kwanza.

Uamuzi wake sio tu kwamba Leicester imemaliza nafasi ya tano na kukosa nafasi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa nyuma ya Chelsea iliyo nafasi ya nne. Kusudi lake ni kuhama na kwenda ambapo anajikuta akicheza kwa miaka mitano hadi sita ijayo katika kikosi cha kwanza.

Chilwell alikosa mechi tano za mwisho za Leicester akiwa na jeraha la mguu na nafasi yake alichukua Nyota wa England U19, Luke Thomas kwenye michezo mitatu iliyopita.


Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani.

Cheza Hapa Sasa

32 Komentara

    Hapa Chilwell ameshalamba deal kubwa la kwenda Chelsea

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Chelsea watakua wamelamba dume.

    Jibu

    Chelsea wakimchukua huyu watakua wamepata mchezaji mzuri

    Jibu

    Ni mchezaj mzuri

    Jibu

    Chelsea ijiandae kuvunja bank wachezaji wa Kiingereza huuzwa bei kubwa sana sokoni#meridianbettz

    Jibu

    Chilwell kama anajihalarisha mwenywe the blues

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Cha msing chilwell aangalie maslai

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Habar njema kwa mashabik wa chelsea

    Jibu

    Inabidi afanye maamuzi yenye manufaa kwake maana kucheza mpira Ndio kazi yakee inayompa pesaa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    The blues wajikite zaid kwenye usajili ili kuongeza makali msimu ujao

    Jibu

    Itakuwa poa sana chilwell akienda huko lkn Chelsea inatakiwa waandae mpunga wa maana

    Jibu

    Habari njema#Meridianbettz

    Jibu

    Chelsea wakimchukua watakuwa wamepata mchezaji mzuri sana
    #meridianbettz

    Jibu

    Aende tu Chelsea Kama wametangaza dau kubwa

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Habari njema kwa chilwell kulamba dili kubwa kwenda chelsea

    Jibu

    Ndo wakat sahh huu Kama hatasubir muda haumngoj

    Jibu

    Chelsea okota dodo ilo chin ya mnazi!!!

    Jibu

    Chelsea inabidi wajikite zaidi kwenye usajili ili waweze kufanya vizuri msimu ujao

    Jibu

    Habari njema sana

    Jibu

    Hayo ni maamuzi yake na hitakua vizuri kama Leicester watakuabalina na mahamuzi yake

    Jibu

    Km ataenda chelsea namini atafanya makubwa sana.

    Jibu

    Kipindi cha usajir hiki

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema Sana

    Jibu

    Ila yupo vizuri sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.