Blaise Matuidi Mbioni Kutimba Inter Miami

Juventus wanaanza mpango wao wa kufanya mabadiliko ya kuboresha kikosi, na kwa mujibu wa La Gazetta dello Sport wanadai Blaise Matuidi anaweza kuhamia Inter Miami wanaoshiriki MLS.

Taarifa zinadai kuwa klabu hii inayomilikiwa na David Beckham iko mbioni kukamilisha makubaliano na Blaise Matuidi, ambaye yuko mbioni kumailza mkataba wake wa kuwepo Turin.

Kiungo huyo wa Ufaransa aliziona nyavu za Serie A mara 35 msimu wa 2019-20, mkataba wake wa kuwepo dimbani Allianz unamalizika mnamo Juni 2021.

Juventus walimtumbuaa meneja wao Maurizio Sarri baada ya mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa na kuajiri kiungo wa zamani wa Andrea Pirlo, ikiwa ni nafasi mpya ya kuwepo Turin.

Kwa mujibu wa Jarida la La Gazzetta delo Sports, Gonzalo Higuain ndiye mkongwe mwingine anayetarajiwa kuondoka msimu huu wa joto. Hali ya mkataba wake inaendana na hali ya mkataba wa Matuidi.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

Soma Zaidi

45 Komentara

    Hii ni habari mzuri

    Jibu

    David Beckham amekuwa mchezaji wa pili wa zamani kumiliki timu ya mpira wa miguu baada Ronaldo De Lima#meridianbettz

    Jibu

    Good

    Jibu

    Deal likikamilika itakua safi Sana matuid ni mchezaji mzuri na mzoefu anaweza kua sehemu ya msaada mkubwa kwa inter msimu ujao.

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Juventus sio poa
    @meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Wachezaji waige beckham kumiliiki timu ili kukuza soka

    Jibu

    Matuidi bado yupo Fit kama Juve wakimuacha akaenda MLS yote kheri

    Jibu

    Matuidi bado yupo vizuri ilodili likikamilika itakuwa safii sana

    Jibu

    Juve sasa naona wanapotea kumtoa mchezaji mkoko ambaye yuko vizuri kikosini lakini sisi tunasema yote sawa mana viongezi wakiamua hakuna anaye weza kupinga wa nnje ya uwanja

    Jibu

    Habari njema.

    Jibu

    Matuid ni mchezaji mzuri na anaweza kua msaada mkubwa msimu ujao

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    Nautambua uwezo wa mfaransa huyo yuko vzur sana Matuidi amecheza katika mechi za chini ya miaka 18 na kupata taji mara 8, vilevile mechi za chini ya miaka 19 kupata taji mara 8. Pia alijitokeza katika mechi za chini ya miaka 21 na kuongoza hadi mchuano wa UEFA 2009 Ulaya katika mechi ya chini ya miaka 21 na kuonekana mara 24. Bahati mbaya, wasifu wake mechi za chini ya miaka ulifika mwisho kufuatia kushindwa na Ujerumani katika mchuano wa kufuzu, ambao uliamua nani atakayecheza katika mchuano wa chini ya miaka 21 wa UEFA 2009 Ulaya yaaan n mchezaji mwenye wadhifa mkubwa sana

    Jibu

    juve sasa naona wamepotea mchezaji mkoko ambaye yupo vizuri#meridianbettz

    Jibu

    habar nzur

    Jibu

    Maoni:vizuri sana

    Jibu

    Kila la kheri blaise

    Jibu

    Pirlo ameanza vyema kwa kupunguza wachezaji wasio na faida na timu

    Jibu

    Nc news

    Jibu

    Habarii nzuri sana

    Jibu

    Pirlo kaanza mambo yake sasa kutengeneza kikosi ambacho yeye anakihitaji

    Jibu

    Good

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Kila la kheri popote kambi

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Kiungo fundi#meridianbettz

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Kila la heri

    Jibu

    Fundi!!

    Jibu

    Ni Jambo zuri kwenda kujiunga na timu mpya

    Jibu

    Matuidi yupo vizuri juve wafanye mpango wa kumsajili

    Jibu

    Safiiii

    Jibu

    Wafanye bwana mana mzigo mkubwa anaupata CR7#Meridianbettz

    Jibu

    matuidi bado anawika kwa umahili wake

    Jibu

    Habari njema#Meridianbettz

    Jibu

    Karibu sana kutua inter Miami

    Jibu

    Matuid ni kiungo mahili sana endapo kandarasi yake itakamilika ya kutimkia inter atakua sehemu kubwa ya msaada clubuni hapo.

    Jibu

    Inter watakuwa wamepata kiungo mzuri sana

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Nijambo jema

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.