Sancho amejumuishwa katika kikosi cha watu 31 cha timu ya Borussia Dortimund kilichoanza mazoezi nchini Switzerland licha ya uvumi kuendelea kujiunga na timu ya Manchester United.
Mchezaji huyo wa timu ya taifa ya Uingereza amekuwa katika tetesi kubwa za kujiunga na timu ya Manchester United kwa dau kubwa la fedha, na United wamemaliza katika nne za juu kwenye Premier League Hivyo basi tutawaona kwenye Champions League msimu ujao.
Dortimund wameripotiwa walikuwa wanataka kumalizana na dili hiyo kabla hawajakwenda mbali kujiandaa kwaajili ya msimu ujao 2020-21 ingawa hilo limeshindikana na wameondoka na mchezaji huyo kwenda nchini Switzerland.

Kutokana na uvumi uliopo kwenye vyombo vya habari, klabu hiyo ya Bundesliga inataka kiasi cha £108m kwa uhamisho wa kiungo huyo mwenye umri wa miaka 20 alisajiliwa na Dortimund mwaka 2017 akitokea Manchester City.
Wakati Sancho anasubiri kutafuta kama kunanamna ya kukamilisha dili hiyo na United na mwajiri wake wa sasa, ataendelea na mazoezi akiwa na Dortimund nchi Switzerland.
Jude Bellingham nayeye pia amesafiri na timu hiyo,kiungo huyo alijiunga na timu hiyo ya Ujerumani akitoke klabu ya Birmingham.
Lakini, Marco Reus na Marcel Schmelzer wamebaki nyumbani wakiendelea kujitizamia na majeraha yanayo wakabili.
Dortimund wapo mbioni kucheza michezo ya kirafiki dhidi ya SC Altach na Austria Vienna wakati wakiwa wapo kambini nchini Switzerland.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Furahav
Pesa nyingi sana.
Sadick
Thamani ya Sancho sokoni ni kubwa mno wakati huu uchumi wa vilabu vingi umeyumba sana#meridianbettz
Shan
Japo kazi ipo!!
Ester jackson
Bonge la dau kwa Sancho ila uchumi hasaivi umeyumba au wamefanya hivyo kwa sababu ya ubora wake zaidi
felister
good news
aisha
Kazi ipo hapo
Khadija
bonge la dau kwa sanchez#meridianbettz
Antony Luseno
Ikiwezekana huu usijali united waupotezee
Tahiya
Pesa ndio kila kitu
Gabriel
Hapa tunachanganyana maaana nilisikia ole gunar ameshamchukua tayar now nasikia yuko kwny kikos cha Dortmund cha watu 31 kwa hiz tetes zinachanganya sana
Rehema
Hapo kazi ipo
Adelta
Gud news 👍
@Meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Kaz ipo apo Sancho tunataka mahajabu hapo
Shafii
Kwa namna hii man u wajipange kwa msimu ujao washamkosa.
Hope mwaikuka
Wapambane yu man u
Neema juma
Duuuu noma sana
Mwanahamisi
Pesa ndio mpango mzima
Ernest
Naona Man U wameamua kuchungulia pesa yao
Devotha
wameweka dau kubwa sana
Tatu
Good news
Genia Sikaluzwe
Hapo kazi kazi
Povel
Tatiz kpnd hk cha covid 19 timu nyng hazina pesa ndo maana United wanachunguliah pesa yao
lombo
mambo ni moto na meridianbet
MnonganeJR
Mkali wa assist Sancho soon anakuja man utd#meridianbettz
farida ahmadi
Habari njema Sana
Theonestina
Noma sanaa
Fatuma kasomo
Duh
David Pere
Dortmund wanazingua wanaleta tamaa sanaa ya pesaa
Dorophina
Mkwanja mrefu sana sancho wamemuwekea man u kwa sasa hawawezi kumsajili inaonekana kipato Chao kipo chini
Rose kapinga
Sio mbaya!!!
warda
Ila namkubali sana huyu dogo#Meridianbettz
Mwajumah
Wameweka dau kubwa sana#Meridianbettz
magdalena
sancho thamani yake ni kubwa sana kutokana na kiwango chake cha kujituma katika mpira
Zeiyana
Kwa jinsi hali ilivyo Sancho inaonesha anaweza kubaki Dortmund msimu huu.
Caroline
Sancho ni wa Dortmund jamani
Nasra
Man U hapa sidhani Kama watakubali kutoa hela kubwa
Leonard
Safi
Omary lukumbi
Ina maana man united ndio wameshindwa kumsajili huyu sancho
Samiah
Duuh