Rangnick: Haileti Maana Kumbakisha Ibrahimovic Milan.

Ralf Rangnick amesema kwamba isingeleta maana kumbakisha nyota wa Milan Mkongwe Zlatan Ibrahimovic kama angepata nafasi ya kumbadili kocha aliyeongezwa muda katika klabu hiyo kocha Stefano Pioli.

Rangnick alikuwa akijiandaa kujiunga na klabu hiyo kwa kuchua mikoba ya Pioli lakini dili hiyo ilibuma baada ya Pioli kuwa na matokeo chanya kwenye michezo ya mwisho ya kumaliza msimu kwa kutofungwa kwenye michezo 13.

Ibrahimovic alikuwa ni silaha ya kuikoa Milan mara baada ya kutua katika timu hiyo mwezi Januari akitokea LA Galaxy kwani Milan walikuwa wamepoteza muelekeo Zlatan alifunga goli 11 katika michezo 18.

     Zlatan Ibrahimovic

Mchezaji huyo wa zamani wa Manchester United na Paris Saint-Germain, aliyefunga goli 7 baada ya kurejea kwa michezo ulimwenguni baada ya kusimama kwa muda kufuatia janga la Corona, kwa sasa yupo kwenye mazungumzo na klabu hiyo kwa klabu kutaka kumuongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kukaa Milan.

Lakini, Rangnick amesema Zlatan asingekuwa chaguo lake katika kikosi ambacho angekiweka.

“Ulichotakiwa kuniuliza ni hiki: Kwanini Milani walikuhitaji? Walitaka ufanye nini? Labda walitaka kubalisha upepo,” Rangnick aliiambia Gazzetta dello Sport.

“Huo siyo mtindo wangu kuangalia mchezaji mwenye umri wa miaka 38, siyo kwasababu ya kipaji, kwa sababu nimelenga kutengeneza thamani na kuendeleza vipaji vya vijana.

Milani wamemalizamsimu wakiwa nafasi ya sita na hajafuzu kushiriki Champions League msimu unaofuata, the Rossoneri hawajafanikiwa kushinda kombe la Serie A tangu mwaka 2011, wakati pia hajafanikiwa kufuzu kwenye mashindano ya ulaya tangu mwaka 2014.

    Kocha Ralf Rangnick

Aliulizwa kuhusu angefanya nini kuirudisha Milan kwenye ubora na kupata mafaniko katika ligi ya Italia,

“Ningeweka mikakati thabiti,kama kuhakikisha tunafuzu kucheza Champions League, kwa sababu hakuna timu kubwa inayo furahia michuano ya Europa League,”Rangnick alijibu.

“Wanamifano hai majirani zao Atalanta ni mwendo wa kilomota 30 tuu kutoka Milan, wamemaliza katika nafasi ya tatu ni kwasababu wamefanya uwekezaji wa mafanikio, wanayo moja ya akademi bora sana kwa kukuza vipaji vya vijana Ulaya.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi ucheze

37 Komentara

    Km anaumuhimu abaki tu

    Jibu

    Ibrahimovic hawezi kubaki Milan
    @meridianbettz

    Jibu

    Maoni:ibrahimovic mchezaji mzuri na mkongwe licha ya kuwa umri unamtupa mkono tena

    Jibu

    Sina mashaka na maoni ya Rangnick lakini kwa timu kama Ac Milan na ukiangalia mchango wa Zlatan basi Zlatan anahitajika zaidi na Ac Milan kuliko yeye anavyoihitaji Milan

    Jibu

    ibrahimovic ni mahili katika mpira na ana mchango mkubwa katika timu

    Jibu

    Yupo vizuri sana ibrahimoc hakuna mchezaji yoyote pale milan hanayeweza kufikia kiwango chake

    Jibu

    Kwa mchango aliotowa ibrahimovic ni bora wamuache abaki tu Milan ila sisi mashabiki tunaheshimu maamuzi yenu zaidi

    Jibu

    Ibrahimovic ni mchezaji mzuri na mkongwe licha ya kuwa umri umemtupa mkono#Meridianbettz

    Jibu

    Ibrahimovic ni vizuri kama angebaki hapo hapo milan

    Jibu

    Rangnick a natambua uzur wake yko sahh!!

    Jibu

    bdo anahitajk abak

    Jibu

    Rangnick anatambua umuhimu wake lbrahimovic

    Jibu

    Kadabla kaiokoa sana Milan kwa kufunga magoli yenye umuhimu mkubwa toka alivyosajiliwa na ni mchezaji muhimu ambae bado anastahili kubaki Ac Milan

    Jibu

    Anaumuhimu mkubwa sana abaki tuu

    Jibu

    Kadabra mtu mbaya.

    Jibu

    Ibrahimovic me mtazamo wang umri umeshaeenda bora aombe kustafu maana anazid kuilemaza milan u

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Kadabra mtu makini

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Ibrahimovic ni mchezaji mzuri ni bora abaki millan aendeleze soka

    Jibu

    Bora abaki ibrahimovic ni MTU mwenywe

    Jibu

    Huo mtazamo wake tu natumain kabadlla bado anakitu cha kuwa offer vijana ndani ya Milan na hata nje ya Milan

    Jibu

    Abaki hapo hapo#meridianbett

    Jibu

    Ibrahimovic Bado yuko vizuri abaki tu hapo hapo

    Jibu

    Sasa anachez mpila stareh t

    Jibu

    Ilijulikana tangu awali kwamba Ralf Rangnick angechukua mikoba AC Milan na Ibrahimovic alisema hamujui kocha huyo kwa maana hana cha maana atakachoifanyia Milan nadhani alijua hangekuwa na nafasi tena#meridianbettz

    Jibu

    Ibrahimovic ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Ibramovic ni mchezaji mzuri Sana

    Jibu

    Abaki tu ibramovic . yuko vizur

    Jibu

    Ibrahimovic ni mchezaji mahiri aendelaa kusalia hapohapo kwa kumalizia muda wake kwani umri pia unamtupa mkono.

    Jibu

    Sina mashaka na maoni ya Rangnick lakini kwa timu kama Ac Milan na ukiangalia mchango wa Zlatan basi Zlatan anahitajika zaidi na Ac Milan kuliko yeye anavyoihitaji Milan

    Jibu

    Ibrahimovic namuonaga hana bahati#Meridianbettz

    Jibu

    Ibrahimovic ni mchezaji mzuri na mzoefu

    Jibu

    Ibrahimovic ni mchezaji bora pale milan

    Jibu

    Ni mchezaji mzuri na milan bdo inaitaji mchango wake sana

    Jibu

    Ila kama age ishakata

    Jibu

    Wahenga wanasema safari na wazee kadabra anaweza kucheza hata misimu miwili kabla haja staafu.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.