Arsenal Kuanza na Wagumu Kwenye Msimu Mpya EPL.

Arsenal wamepangwa na timu ngumu kwenye michezo ya ugenini katika hatua ya mapema kwenye msimu mpya baada ya ratiba ya Premier League kutoka siku ya Alhamisi.

Ufunguzi wa msimu wa 2020-21 utahusisha kwenda mbali kidogo ya London kwa Upande wa Gunners lakini baada ya kuwatembelea Fulham waliopanda daraja msimu huu, mambo yatakuwa ni magumu zaidi Arsenal wakiwa tayari wameanza mbio za kuwania kombe la Premier League.

Kabla ya Oktoba haijaisha, Mikel Arteta na viajana wake watatembelea viunga vya Anfield, Etihad na Old Traford.

Mashabiki watapaswa kusubiri mpaka tarehe 5 mwezi Disemba kuona kama Arsenal wataweza kulipiza kisasi cha kichapo ilichopata mwezi Julai na timu ya Mourinho Tottenham, na mchezo marudiano utapigwa mwezi Machi.

Mchezo wa nyumbani wa ufunguzi kwa Gunners pia utakuwa ni Londoni debi na West Ham ambao watawatembela Arsenal wakti siku ya Boxing Day tutaona Chelsea wakitembelea viunga vya Emirates.

Timu ya Arsenal inayonolewa na Arteta ilimaliza katika nafsi ya nane msimu uliyopita, lakini walitetea msimu kwa kutwaa taji la FA.

Ratiba kamili ya Arsenal

Septemba 12 – Fulham v Arsenal

Septemba 19 – Arsenal v West Ham

Septemba 26 – Liverpool v Arsenal

Oktoba 3 – Arsenal v Sheffield United

Oktoba 17 – Manchester City v Arsenal

Oktoba 24 – Arsenal v Leicester City

Oktoba 31 – Manchester United v Arsenal

Novemba 7 – Arsenal v Aston Villa

Novemba 21 – Leeds United v Arsenal

Novemba 28 – Arsenal v Wolves

Disemba 5 – Tottenham v Arsenal

Disemba 12 – Arsenal v Burnley

Disemba 15 – Arsenal v Southampton

Disemba 19 – Everton v Arsenal

Disemba 26 – Arsenal v Chelsea

Disemba 28 – Brighton v Arsenal

Januari 2 – West Brom v Arsenal

Januari 12 – Arsenal v Crystal Palace

Januari 16 – Arsenal v Newcastle United

Januari 27 – Southampton v Arsenal

Januari 30 – Arsenal v Manchester United

Februari 2 – Wolves v Arsenal

Februari 6 – Aston Villa v Arsenal

Februari 13 – Arsenal v Leeds United

Februari 20 – Arsenal v Manchester City

Februari 27 – Leicester City v Arsenal

Machi 6 – Burnley v Arsenal

Machi 13 – Arsenal v Tottenham

Machi 20 – West Ham v Arsenal

Aprili 3 – Arsenal v Liverpool

Aprili 10 – Sheffield United v Arsenal

Aprili 17 – Arsenal v Fulham

Aprili 24 – Arsenal v Everton

Mei 1 – Newcastle United v Arsenal

Mei 8 – Arsenal v West Brom

Mei 12 – Chelsea v Arsenal

Mei 15 – Crystal Palace v Arsenal

Mei 23 – Arsenal v Brighton.


Drops and Wins!

Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.

Soma zaidi ucheze

41 Komentara

    Kweli Arteta na vijana wake wanakazi ngumu sana mbele yao kuweza kutoboa hapa inahitaji juhudi za mchezaji mmoja mmoja na mbinu za Kocha

    Jibu

    Uingereza kwa sasa hamna timu nyepesi kwani ligi itakapoanza timu zote zitakua ngangari tayari kwa mtanange

    Jibu

    Asante kwa makala#Meridianbettz

    Jibu

    Akuna timu nyepesi timu zote lazima ziwe vizuri naushindani kilamtu atakuja kivingine

    Jibu

    Asante kwa makala

    Jibu

    Arsenal wanakibarua kizito msimu huu unaoanza

    Jibu

    Sikuizi kwenye gemu akuna kuagalia tena team kubwa kikibwa kuangalia ubora wa timu so tumeona mabadiliko mengi sana kwenye gemu clabu kubwa zimenda na maji kwa kuzarau team wanazo cheza nazo so kikibwa arsenal wajipange kila kitu kinawezekana

    Jibu

    Ratiba iko vizuri.

    Jibu

    Me sio hizo timu ngumu ambazo Arsenal amepangiwa ambazo zinaweza kumtetemesha bado sijaona kabisa

    Jibu

    Bonge la makala@meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa mapema kabisa

    Jibu

    Mapambano laxima yaendelee

    Jibu

    Maoni:vuzuri meridian kutujuza ratiba kwa mashabiki

    Jibu

    Ratiba ipo poa sana

    Jibu

    Ratiba iko poa

    Jibu

    Gud

    Jibu

    arsenal wapambane sana ili kusahihisha makosa yao kwanza

    Jibu

    Arsenal kazi wanayo duuh sijui itakuaje sasa

    Jibu

    Makala nzuri

    Jibu

    Bora Arsenal wameipata ratiba mapema wataifanyia kazi

    Jibu

    Team zimejipanga vizuri

    Jibu

    Epl is back soon Gunner wanatakiwah kupambana wasingizieh fixture kwao ngumu

    Jibu

    Team ziko pouw

    Jibu

    Jamani hakuna kazi nyepesi wajipange vizuri na kila mmoja akazane ilitimu isonge mbele#meridianbett

    Jibu

    Mechi ngum kwao

    Jibu

    Ratiba ya kujipima ubavu kama kweli washindani au wasindikizaji?. Naamini Arteta anataka kuleta kitu cha tofauti msimu ujao#meridianbettz

    Jibu

    Ratiba iko vizuri

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Makala nzuri Sana

    Jibu

    Ratib imo poa sana

    Jibu

    Makala nzuri natumai arsenal wamejipanga imara kwa vijana hao.

    Jibu

    Mchezo wa nyumbani wa ufunguzi kwa Gunners pia utakuwa ni Londoni debi na West Ham ambao watawatembela Arsenal wakti siku ya Boxing Day tutaona Chelsea wakitembelea viunga vya Emirates.

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Makala safi ni vijana wa team zote kujianda a vyema!

    Jibu

    Watajuta mana wamelegea kama Yanga#Meridianbettz

    Jibu

    kwa ratiba hii arsenal inabidi wajitahidi sana

    Jibu

    Arsenal msimu huu wamejipanga sana

    Jibu

    Arteta anakazi ngumu sana msimu huu

    Jibu

    Kikubwa wapambane tu

    Jibu

    Ni vyema ukamaliza kibarua mapema na wagumu ili mbeleni kuwe mtelemko.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.