Shane Duffy ameweka wazi kuwa sasa ametimiza ndoto yake ya utotoni baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo kwa msimu mzima kwenda Celtic akitokea Brighton and Hove Albion.
Beki huyo wa kati ataungana na mabingwa wa Scotland tayari kwa kampeni ya msimu wa 2020-21 baada ya kutimiza jukumu la kimataifa, akiwa anajiandaa kwa mechi za Ligi ya Mataifa dhidi ya Bulgaria na Finland na pia Jamhuri ya Ireland.
“Nimefurahia, ni kitu ambacho nimekuwa nikiota kukifanya kila wakati na nimefurahi sana kwenda pale sasa na kuendelea mbele. Natumai ninaweza kufanya kazi bora kwa klabu.” Alinukuliwa Shane Duffy na tovuti ya klabu -Celtic
“Watu wataelewa uhusiano wa Derry huko Ireland na Celtic, ni kitu tulichokifahamu, kweli.
“Wakati nakua, niliweza kuwa na bahati ya kuwepo kwenye michezo kadhaa na kupata uzoefu wake. Ni kilabu changu cha ujana na kwa kweli ni kama ndoto unaapokuwa mtoto.”
“Sasa napata nafasi ya kwenda Celtic Park na kuichezea kilabu ni heshima kubwa na natumaini ninaweza kuwafanya wajivunie.”
Shane Duffy alijiunga na Brighton akitokea Blackburn Rovers mnamo Agosti 2016 na kuisaidia klabu hiyo kufikia Ligi Kuu.
Alikuwa tegemeo katika kampeni mbili za kwanza za Seagulls katika ligi kuu, lakini alipata kuanza katika mechi 12 tu za Ligi Kuu chini ya Graham Potter muhula msimu baada ya kuwasili kwa Adam Webster kutoka Bristol City.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


Shafii
Ni jambo zuri kwake ni wakati wa yeye kwenda kuonesha uwezo wake ndani ya kikosi cha Celtic.
magdalena
ndoto zikitimia huwa ni raha sana hongera sana kijana kapige kazi ili ndoto zako zitimie zaidi
rama
inabidi akaonyeshe kiwango chake sasa
Sadick
Shane Duffy chini ya Kocha Gerrard itaendeleza moto wake wa kutokuwa na mpinzani ktk Ligi Ya Uskochi#meridianbettz
aisha
Shane beki mahir pia safi kupata changamoto mpya
Shani
Ni vyema yuko vizur wataona umahiri wake!
Sauda
Muda wa kuonyesha kiwango umefika
Adelta
Ni Vizuri ndoto yake imetimiya
@meridianbettz
Fatina mfigi
Safi
Nasra
Ni jambo zuri
Mwanahamisi
inabidi akaonyeshe kiwango chake
Samira
Sasa ajitahidi akaze
Sabrina
Hongera sana kwa kutimiza ndoto yake
Dorophina
Asante kwa makala
Latifa juma mohamed
Shane Duffy alijiunga na Brighton akitokea Blackburn Rovers mnamo Agosti 2016 na kuisaidia klabu hiyo kufikia Ligi Kuu,hongera sana ndoto zmetimia
Mwajumah
Ni Jambo zuri inabidi akaonyeshe kiwango chake sasa#Meridianbettz
Shani
Celtic imepata beki kisiki
Caroline
Hongera celtic mmepata jembe
Hidaya
Wakati wa kukamilisha ndoto zake umetimia
Neema
Hatimaye ndoto zake zimetimia ni wakati wakwenda kuonyesha uwezo wake sasa
Khadija
Safi sana kijana kaza buti
Povel
Kila la kheri duffy
Rehema Dickson
Safi sana yuko vizuri
Janeflora malisa
Good
Saupha mohamed
Safi sana
Fatuma kasomo
Niwakwati wakuonyesha kiwango chake
Frank P
brighton wanaachiaje wachezaji kama hawa for next season
Genia Sikaluzwe
Nijambo jema
Amiri Kayera
Aende kukiwasha Tu huko
Issa
Mmh celtic inataka watu makini kama hawa
Asia Abdy
Itakua poa
Hope mwaikuka
Inapendeza sana kuamian ndoto yako
Revina
Ni mchezaji anaejua anachokifanya kwahiyo ni jambo jema kutimiza ndoto zake kama alivyosema
Rehema
Ni Jambo jema
marry
maamuz mazr
Edgar
Vzr
Theckla
Hongera kwake kwa kutimiza ndoto yake
David Pere
Alikuwa tegemeo katika kampeni mbili za kwanza za Seagulls katika ligi kuu, lakini alipata kuanza katika mechi 12 tu za Ligi Kuu chini ya Graham Potter muhula msimu baada ya kuwasili kwa Adam Webster kutoka Bristol City.
farida ahmadi
Yuko vizuri Sana
Rose kapinga
Bonge la deal!!!
Tatu
Kila LA khery Shane Duffy
Lydia Emmanuel Magoti
Kila la kheri kwake
Gabriel
Shane Duffy chini ya Kocha Gerrard itaendeleza moto wake wa kutokuwa na mpinzani ktk Ligi
felister
safi kijana kafanye kazi
Ernest
Pigo kubwa sana kwa Duffy kuondoka ndani ya Uingereza kwa sisi wazee wa Fantasy
lombo
iko poa
Furahav
Jambo zuri.
farida ahmadi
Shane Duffy
Ester jackson
Hongera nasubiri kuona ubabe wake
Samiah
Kijana yupo vzr
warda
Huwaga sielewi hizi habar za mikopo