Saul Alvarez (30) Afungua Kesi dhidi ya Promota Wake

Saul Alvarez maarufu kama ‘Canelo’ ameamua kufungua kesi dhidi ya promota wake.

Canelo amefungua kesi dhidi ya Golden Boy Promotions, ambao ni promota wake na mrusha matangazo DAZN baada ya kushindwa kufikia makubaliano juu ya pambano lake lijalo.

Bondia huyu, raia wa Mexico alikuwa nje ya ulingo tangia aliposhinda pambano lake la WBO light-heavyweight dhidi ya Sergey Kovalev Novemba iliyopita.

Canelo amekuwa akihusishwa na mapambano kadhaa ikiwa ni pamoja na mapambano dhidi ya mabondia wa Uingereza Callum Smith na Billy Joe Saunders.

Saul Alvarez Afungua Kesi dhidi ya Promota
Canelo alimchapa Sergey Kovalev mwezi Novemba

Saul Alvarez, Canelo alitarajiwa angerejea ulingoni siku ya Cinco de Mayo, ambayo hufanyika kila mwaka Mei 5, kama kumbukumbu ya Mexico ya ushindi dhidi ya jeshi la Ufaransa. Kwa bahati mbaya dili hili halikufanikiwa.

Mpaka sasa tarehe ya kurejea ulingoni kwa staa huyu haijafahamika, ndiyo maana ameamua kuingia katika vita ya kisheria na promota wake Oscar De La Hoya na Golden Boy Promotions, pamoja na washirika wao katika kurusha pambano hilo DAZN kwa madai kuwa walivunja mkataba bila kufuata utaratibu.

Kufuatia suala hilo na masuala mengine ya kimkataba, Canelo anataka kulipwa fidia ya takribani dola za kimarekani milioni 280.


 

SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

47 Komentara

    Fidia inahusika katika hili..

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Jambo zito hili

    Jibu

    Hii iwe fundisho kwa promota wote wazinguaji

    Jibu

    Anahaki ya yakudai fidia coz kila mtu anapaswa kuheshimu mkataba

    Jibu

    Inabidi promota ajishushe waongee yaishe laasivyo Sheria ichukue mkondo wake amlipe fidia anayoitaka

    Jibu

    Nilijua kibongo bongo tuu kumbe hadi mbele mapromota wanazingua!!

    Jibu

    Tusubiri maamuzi ya mahakama

    Jibu

    Hatarii sana

    Jibu

    Duuh noma sana haki itendeke apo#Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa#merianbettz

    Jibu

    daaaaa achatuone itakuwaje

    Jibu

    Mambo ya kesii hata kwa wenzetu wako makini navyo

    Jibu

    Oscar De La Hoya alikuwa Bondia mahiri wakati wake#meridianbettz

    Jibu

    KABLA YA KUFUNGUA KESI INABIDI WAZUNGUMZE KWANZA ILI WAPATE SULUHISHO

    Jibu

    Kweli magumashi hadi mbele ni noma

    Jibu

    Asante kwataharifa

    Jibu

    Tusubiri maamuzi ya mahakama

    Jibu

    Saul hataki masihara tunasubili maamuzi

    Jibu

    Haki muhim ‘

    Jibu

    Atarii

    Jibu

    Safi apate haki yake

    Jibu

    Mapromota muda mwingine wanazingua sana sio kuwategemea sana

    Jibu

    Bondia makini kwenye ulingo

    Jibu

    Kesi iwe ya kweli na haki

    Jibu

    Komesha huyo

    Jibu

    Majanga daaah

    Jibu

    Tafuta haki yako

    Jibu

    Promoter aelewek Acha amshitaki

    Jibu

    Ni vizuri kutafuta haki yako

    Jibu

    Duuh hatari

    Jibu

    Wameshindwa kuafikiana kweli

    Jibu

    Hatari

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa meridianbettz

    Jibu

    Haki itendeke hapo

    Jibu

    Gud update

    Jibu

    Wamepishana nn sasa

    Jibu

    Hiii imekuaje tena

    Jibu

    ana haki ya kudai fidia

    Jibu

    Tusubiri maamuzi ya mahakama

    Jibu

    Vizuri alicho kifanya utetea Akiake

    Jibu

    Promota mbona kama Mamluki vile??!!

    Jibu

    Kama kesi imefika mahakamani basi sheria ifuate mkondo wake

    Jibu

    Utapata haki yako

    Jibu

    Mapromota muda mwingine wanazingua sana sio kuwategemea sana

    Jibu

    Hatari

    Jibu

    Saul anataka mapambano hataki mchezo

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.