Jordan Henderson Kuikosa Mechi Dhidi ya Arsenal

Jordan Henderson hatakuwepo kwenye mechi ya Jumatatu ya Liverpool dhidi ya Arsenal.

Meneja wa Liverpool, Jurgen Klopp amethibitisha kuwa Jordan Henderson ataikosa mechi ijayo ya Liverpool dhidi ya Arsenal Jumatatu kutokana na shida ya jeraha.

Henderson alipata jeraha la paja kwenye mechi dhidi ya Chelsea, ambayo Liverpool walishinda kwa bao 2-0. Kukosekana kwa nyota huyu dimbani kunampa fursa Thiago Alcantara kucheza baada ya mechi yake ya kwanza dhidi ya Chelsea.

Akimzungumzia Thiago, Klopp anasema ni wazo wake lake kuwa ndiye anaweza kuingia dimbani, lakini bado atakuwa na mda wa kufanya maamuzi mpaka Jumatatu kuona ni namna gani anaweza kuingiza kikosi chake bora zaidi uwanjani.

Thiago Alcantara ataziba pengo Jordan Henderson akiwa nje
Thiago Alcantara ataziba pengo Jordan Henderson aikwa benchi

Liverpool wanaelekea kwenue mechi hii dhidi ya Arsenal wakiwa na kumbukumbu ya kichapo walichokipata kwenye mechi ya Community Shield mwezi Agosti. Ni mipango, na matarajio ya Klopp kuwa washika mtutu hawaruki kamba wakati huu.

Licha ya Liverpool kutopigika kwenye mfululizo wa mechi 60 za nyumbani Jurgen Klopp anatambua kuwa kibarua dhidi ya Arsenal ni kibarua kigumu, na anahitaji kuweka uwiano mzuri kati ya safu ya ulinzi na ushambuliaji.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

25 Komentara

    Good news

    Jibu

    Duuh majanga ayo Jordan kuikosa mechi hii Liverpool wajiangalie sana wasije wakapokea kichapo tu

    Jibu

    Mmh inabid wajipange ili wasitoe boko

    Jibu

    mmmh ilo sasa tatizo

    Jibu

    Dah itakuwaje sasa

    Jibu

    Pole Sana Jordan

    Jibu

    Daa itakuwaje Sasa

    Jibu

    Hii mechi sio ngumu sana kwa arsenal kama watajipanga hipasavyo

    Jibu

    Natumai klopp atakuwa tayari ashampata mchezaji wa kuziba pengo lake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole sana jordan utakuwa sawa tuu

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Liverpool bado wanakikosi kizuri sana hapo klopp kukaa na kikosi chake wajipange kwa ajili ya mchezo ujao

    Jibu

    Pole sana Jordan Henderson

    Jibu

    Bonge la pengo hili arsenal wakitumia mwanya huo watailipua liverpool

    Jibu

    Get well soon jordan

    Jibu

    Dah ishakuwa tatizo

    Jibu

    Duh pengo Hilo

    Jibu

    Wakati wa Thiago sasa kufanya yake

    Jibu

    Henderson ni makin sana ila arsenal wakitumia pengo hilo watafanikiw

    Jibu

    majanga ayo Jordan kuikosa mechi hii Liverpool wajiangalie sana wasije wakapokea kichapo tu

    Jibu

    Hatari sana dua linaitajika!!

    Jibu

    Pole Jordan

    Jibu

    pole sana henderson utakaa sawa karibuni

    Jibu

    Pole Jordan klabu inapengo kwa mchezo huo na arsenal wamemkosa mchezaji mzuri sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.