Mo, Chama Bado Yupo Sana

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Mohamed Dewji amesema klabu hiyo ilishaingia mkataba mpya na kiungo Cleotus Chama.

Mo Dewji amesema mkataba wao na Chama unaisha mwaka 2022, hivyo taarifa za kuwa anakwenda Yanga zimekuwa zikiwashangaza.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam, Dewji amesema mchezaji huyo ni mali ya Simba na hakuna sababu ya kuwa na hofu.

“Taarifa sijui anakwenda Yanga ni mambo ambayo si sahihi, hakuna sababu ya kuwa na hofu na ninawatoa hofu mashabiki wa Simba kuwa tuko makini sana.

“Sehemu mbalimbali zimekuwa nikikutana na mashabiki wa Simba ambao wananiambia Mo fanya Chama asiondoke Simba. Chama ni mchezaji wa Simba.

“Suala kwamba anakwenda Yanga sijui linatoka wapi lakini haina shida, sasa nimewaambia na ninafikiri leo tunafunga mjadala,” alisema Mo Dewji.


BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

20 Komentara

    Fanya hivyo iwe kweli yasiwe maongezi pia ukumbuke kuwa ushawishi ni mzuri zaidi kuliko nguvu ya pesa inawezekana ukamshawishi na pesa lakini akakataa kudondosha saini yake kila la heri no ufanikishe hilo

    Jibu

    Maneno hayo kila mtu anaongea lake Chama bado yupo yupo simba Sana tuuu kwaio wapinzani watasubili Sana kumsubili Chama haende yanga bado Sana yani

    Jibu

    chama atabaki simba tu hawezi kukubali kwenda utoporo kufa njaa

    Jibu

    Baelezee baba

    Jibu

    Chama kama chama hawezi kwenda popote,hapo simba kashatua mizigo yake..najua maneno mengi yanaongelewa lakini mwamuzi ni yeye chama

    Jibu

    Akae tu simba. Ata yanga hatuna shida nae.tumejitosheleza.na hamtuwezi

    Jibu

    Yetu macho ngoja tuone

    Jibu

    Chama Kama chama atabaki kuwa simba

    Jibu

    Nltaka nishangae

    Jibu

    Chama hawezi kwenda utopolo😀

    Jibu

    Chama awezi kuondoka simba kwan yeye na simba damdam

    Jibu

    Chama is un stopped

    Jibu

    Tetesi za Chama kutaka kuondoka zinapandisha gharama yake sokoni naamini amepata mkataba mno zaidi kuliko wa awali

    Jibu

    Chama njoo yanga upate changamoto ingine huko kwa mikia hamna. Maajabu

    Jibu

    Aya wana simbaa kila sehemu chama duuh naona chama ndio anafunga mwaka kwa kujadiliwa

    Jibu

    Hapo panamfaa tu

    Jibu

    Chama hawezi kuondoka Simba

    Jibu

    Chama atoki simba

    Jibu

    Yanga wanapenda kujambisha tu wajahuwezo wa kumchukua chama

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.