Licha ya kuweka rekodi ya kuwa mchezaji wa mbio za langalanga mwenye mafanikio makubwa. Lewis Hamilton ni mwanaharakati wa haki za binadamu na mambo ya mazingira.
Kuelekea mbio za Bahrain Grand Prix, tayari wabunge 30 wa Uingereza wamezungumzia vitendo vya ukiukwaji wa haki za binadamu ambavyo vinahusishwa na mbio hizo.
Hamilton amesema ameshapokea barua kadhaa kutoka kwenye makundi yanayopigania haki za binadamu ikiwa ni muda mfupi tangu alipofika Bahrain, Lewis amesema “nitatenga muda ili niweze kuzisoma zote kwa kina”.

“Ni muhimu sana kwa kila mchezo kutumia nafasi iliyonayo kubadilisha maisha ya watu. Haki za binadamu ni tatizo kila sehemu tunayokwenda.
“Sisi ni wanamichezo wachache ambao tunakwenda nchi nyingi na nina amini kama wanamichezo tunatakiwa kufanya kazi ya ziada.
“Tumeshapiga hatua katika uelekeo sahihi lakini bado tunapaswa kuongeza juhudi zaidi. Wameweka hatua za kufuata kwenye kila sehemu tunayokwenda lakini tunapaswa kuhakikisha hatua hizo zinafuatwa katika njia iliyo sahihi kiutekelezaji.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.



Fatuma kasomo
Asante kwa taarifa meridianbet
samiah
GUd news
Lydia Emmanuel Magoti
Habari hipo vizuri
Saupha mohamed
Good news
Magdalena
Itakuwa vyema sana
Fatina mfingi
Nice
Adelta
Good
aisha
Hilo ni jambo jema sana
Tahiya
Ni jambo njema
Dorophina
Lewis yupo sahihi katika kutetea haki za binadamu
Hopemwaikuka
Waoo
Khadija
Asante kwa taarifa
Rahma
Nic
Sauda
Itakuwa vizuri
Sabrina
Itapendeza zaidi
Tatu
Jambo jema
warda
Kafanya poa sana kulikumbuka hili