Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema amekataa kusaini mkataba mpya na Bayern Munich, na anatarajia kuanza mazungumzo na Chelsea, Real Madrid na Paris St. Germain.

Beki wa Manchester City na England John Stones, 26 anatarajiwa kuongeza mkataba na klabu hiyo baada ya kumfurahisha meneja wake Pep Guadiola.

Tetesi zinasema Liverpool haina mpango wa kumuuza mshambuliaji wake Mohamed Salah, 28 baada ya taarifa kusema hana raha Anfield.

 

Tetesi zinasema Arsenal inamfikiria kumsajili mshambuliaji wa Uruguay, Maxi Gomez, 24.

Everton inataka kumuongeza mkataba beki wake wa kushoto mfaransa, Lucas Digne, 27. City walianza kumnyemelea mchezaji huyo.

Newcastle na Sheffield United wanamfwatilia kwa karibu beki wa Manchester United na Argentina Marcos Rojo, 30. Klabu hizo zinamtaka kwa mkopo mchezaji huyo.

Tetesi zinasema Klabu ya Paris St-Germain ina mpango wa kuwasilisha ombi la kuwasajili kipa wa Atletico Madrid na Slovenia Jan Oblak, ambaye yuko tayari kwa chagamoto mpya.

 

Beki wa Manchester United na England Phil Jones, 28, anafwataliwa kwa mkopo na klabu za West Brom na Derby County.

Manchester United inataka kumsajili beki wa Ecuador, Moses Caicedo, 19 kutoka klabu ya Independiente del Valle katika dirisha la mwezi january.

Tetesi zinasema beki wa Liverpool na England Rhys Williams, 19, hatoruhusiwa kuondoka ka mkopo.


VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!

Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini???

SOMA ZAIDI

12 Komentara

    Tetesi zinasema Liverpool hawawezi kumuuza mshambuliaji wao

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Nic

    Jibu

    Habar nzuri

    Jibu

    Everton muongezeen huyo anafaaa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    zilikuwa poa

    Jibu

    Arteta anatakiwa kuwa na hesabu nzuri kwenye dirisha hili Godo ili kuleta mabadiliko ndani ya Arsenal na uongozi wanatakiwa kuachia mpunga

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.