Kuelekea mashindano ya ATP Cup 2021 kimataifa, Novak Djokovic, Rafael Nadal, Dominic Thiem na Daniil Medvedev kuzipeperusha bendera za mataifa yao.
Mashindano ya ATP Cup 2021 yatashirikisha mataifa 12 tu, hii ni kutokana na mlipuko wa COVID19 na hivyo juhudi za makusudi zimefanyika ili kufanikisha mashindano haya.
Utaratibu wa kupata timu zitakazoshiriki ulizingatia nafasi ya mchezaji mmoja mmoja kwenye orodha ya wachezaji wa tenesi duniani.
Kwa sababu hiyo, mchezaji namba 1 duniani – Novak Djokovic ataipeperusha bendera ya Serbia, Rafael Nadal (namba 2 kwa ubora duniani) ataiwakilisha Hispania, bingwa wa US Open 2020 – Dominic Thiem (Austria) na bingwa wa ATP Finals – Daniil Medvedev (Urusi).
Timu zilizofuzu kucheza mashindano ya ATP Cup 2021 sambamba na wachezaji watakaoziwakilisha.
| Sebia – Novak Djokovic | Argentina – Diego Schwartzman |
| Hispania – Rafael Nadal | Italia – Matteo Berrettini |
| Austria – Dominic Thiem | Japani – Kei Nishikori |
| Urusi – Daniil Medvedev | Ufaransa – Gael Monfils |
| Ugiriki – Stefanos Tsitsipas | Canada – Denis Shapovalov |
| Ujerumani – Alexander Zverev | Australia – Alex de Minaur |
Uingereza ambao walipoteza mchezo wa nusu fainali msimu uliopita, watayakosa mashindano ya mwaka huu. Taifa hilo linaikosa nafasi hii kutokana na kwamba mchezaji bora wa nchi hiyo – Dan Evans anashika nafasi ya 30 kwenye orodha ya wachezaji bora duniani.
Droo ya nani atachuana na nani itafanyika Januari 20 ambapo timu 12 zitagawanywa kwenye makundi 4 ya timu 3 kila kundi. Mshindi wa kila kundi atafuzu hatua ya nusu fainali.
Ndio, kwetu Mteja ni mfalme. Jiunge sasa na familia ya Meridianbet bila malipo yeyote na sisi tutakuzawadia bonasi ya shilingi 3,500 kama sehemu ya kukukaribisha kwenye familia hii BURE!!!. Unasubiri nini??



Sania
Habari njema hizo
Shakila mrope
Good New
Magdalena
Mambo yanazidi kupamba moto
Angelina
Niceupdate
Hopemwaikuka
Mchezo niupendao
Chiku
Mchezo wa kuaminika
Rahmal
Mambo yanazidi kutaladadi
Dorophina
Nice update
Khadija
Nice
Janeflora malisa
Safi
Caroline
Mambo ni moto
Adelta
Good news.Mashindano mema
Mwanahamisi
Safi
Sarah
Mambo nimoto
Ernest Kimeru
Ngoja tuone itakuaje
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii
Issa
Wababe tu hapa
Latifa juma mohamed
Mambo yanazid kutarad
Saupha mohamed
Nice
felister
ngoja tuone itakuaje
warda
Covid tu isije kuingia kati
Sabrina
Itakua hatari na nusu