Zidane Avunja Ukimya Juu ya Uvumi Kuhusu Alaba.

Kocha mkuu wa timu ya Real Madrid Zinedine Zidane amejibu juu ya taarifa zinazo husisha uhamisho wa mchezaji wa Bayern Munich David Alaba na mshambuliaji wa Paris Saint-Germain Kylian Mbappe.

Zidane Avunja Ukimya Juu ya Uvumi Kuhusu Alaba.

Alaba atakuwa nje ya mkataba mwishoni mwa msimu 2020-21 na siku ya Jumatatu gazeti la nchini Uhispania Marca lilidai kwamba makubaliano ya kuhudumu katika klabu hiyo ya LaLiga kwa muda wa miaka minne tayari yamefikiwa.

Mlinzi huyo hodari ambaye pia baba yake ni mshauri katika klabu ya Real Madrid, hajajibu chochote tangu ahusishwe na kusiani na mabingwa wa LaLiga.

Aliulizwa juu ya uvumi wa unaoendelea siku ya Jumanne katika mkutano na waandishi wa habari kuelekea mchezo wa Copa del Rey na Alcoyano Zidane hakuwa tayari kuongelea jambo hilo.

“Naelewa unataka kuniuliza kuhusu swali hili juu ya mchezaji ambaye siyo wa klabu yetu lakini nipo hapa kuongelea mchezo wa Jumatano,” alisema.

“Naelewa kuna maada za faida zipo za kuziongela lakini sitajibu sasa mimi na timu yangu tunaangalia mchezo ulipo mbele yetu,”

Bosi huyo wa Real Madrid alitoa majibu hayo hayo alipoulizwa juu ya mshambuliaji wa PSG Kylian Mbappe kama angependa kuwa na mchezaji huyo wa Ligue 1.

alisema:”Samahani tayari nimesha sema tunaangalia mchezo wa Jumatano kama nilivyo wajibu juu ya Alaba.


USHINDI UPI NI MKUBWA KWAKO, £2,000,000? 🤑

Pokea mualiko wa Meridianbet na Pragmatic Play kutengeneza mkwanja kwenye kasino ya mtandaoni sasa. Jiunge sasa kupata ishindi huu.

INGIA MCHEZONI

14 Komentara

    Real Madrid imeshindwa kuonyesha umwamba kwenye usajiri , kila siku kumekuwa na uvumi wa hili ama lile

    Jibu

    Good news

    Jibu

    vizuri zidane

    Jibu

    Zidane Yuko sahihi na maneno yake

    Jibu

    Zidane anayumba sana

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Madrid wanapotea sana kwenye usajili

    Jibu

    Zidane Yuko vizuli

    Jibu

    Jibu konk

    Jibu

    Vizuri Sana Zidane

    Jibu

    Zidane Yuko vizuri

    Jibu

    Goodnews

    Jibu

    Zidane yupo vizuri

    Jibu

    Zidane angechukua hawa watu wawili angekuwa poa sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.