Ronaldo : Mendez Ongea na United.


Mshambuliaji wa Juventus, cristiano Ronaldo amemwambia wakala wake Jorge Mendez kuanza kuongea na klabu yake ya zamani ya Manchester United.

Hapo kabla Manchester United ilifanya mawasiliano na wakala huyo lakini mazungungumzo hayo yaligonga mwamba kutokana na Ronaldo kutoridhia jambo hilo.

 

Jorge Mendes, anadai kwamba mshindi huyo mara tano wa Ballon d’Or anaweza kuondoka ka Juventus kwa pauni milioni 26 tu ($ 36m) msimu huu wa joto.

Taarifa za awali zimeripoti kuwa Ronaldo atakuwa tayari kupunguza mshahara wake ili aweze kurejea Old Traford kama alivyokuwa mwanzo kabla ya kutimkia Real Madrid.


MKWANJA MARIDHAWA NA KASINO YA 777 MEGA DELUXE

Nafasi nyingine kwaajili yako, kasino mpya yenye hadhi ya kipekee inayokupa kila sababu ya kuwa mshindi katika kasino za Meridianbet, anza siku yako na njia rahisi ya kutengeneza mkwanja.

CHEZA HAPA

8 Komentara

    Asante kwa makala

    Jibu

    Ronald yuko sahii

    Jibu

    Sio jambo baya

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Jambo zurii

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Itakuwa poa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.