Kocha Mdogo Zaidi Ligi Kuu ya Uingereza

Ryan Glen Mason ni mchezaji wa zamani wa Kimataifa wa Klabu ya Tottenham Hotspur, alikuwa anacheza nafasi ya kiungo. 19 Aprili, 2021, Mason alitangazwa kuwa Kocha wa muda wa Spurs mpaka mwisho wa msimu baada ya Jose Mourinho kutimuliwa.

Kocha
Jose Mourinho

Kwa sasa ndiye Kocha wa muda wa Klabu ya Tottenham Hotspur. Wakati alipokuwa anacheza soka alipitia timu zote za vijana pale Spurs na mchezo wake wa kwanza kwenye timu ya wakubwa kucheza ilikua mnamo mwaka 2008.

Akiwa na umri wa miaka 29 na siku 313, amekuwa Kocha mwenye umri mdogo kuchukua nafasi hiyo kuiongoza Spurs ndani ya Ligi Kuu Uingereza.

Kocha

Mchezo wake wa kwanza, akiwa Kocha ameiongoza Tottenham kupata ushindi dhidi ya Southampton wakiwa nyumbani 2️⃣-1️⃣, ilikua Aprili 21


MKWANJA MARIDHAWA NA KASINO YA 777 MEGA DELUXE

Nafasi nyingine kwaajili yako, kasino mpya yenye hadhi ya kipekee inayokupa kila sababu ya kuwa mshindi katika kasino za Meridianbet, anza siku yako na njia rahisi ya kutengeneza mkwanja.

CHEZA HAPA

6 Komentara

    Mwanzo mzuri atafanya mengi zaidi

    Jibu

    Naona mambo mazuli kutoka kwake

    Jibu

    Duuuh noma

    Jibu

    Safiiii

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.