Ramos Akumbwa na Jeraha Jipya

Nahodha wa Real Madrid Sergio Ramos anakabiliwa na jeraha lingine ambalo litamuweka nje mpaka hatua ya za mwisho katika vita ya kutetea ubingwa wa LaLiga.

Ramos Akumbwa na Jeraha Jipya

Ramos alicheza mchezo wake wa kwanza kwa Real madrid dhidi ya Chelsea baada ya kuwa nje ya dimba kwa wiki saba na kuona timu yake ikitupwa nje ya michuano ya Champions League katika nusu fainali ya pili siuku ya Jumapili.

Lakini sasa amerudi tena kuumwa jeraha lake la tatu kwa msimu huu, alikosa mazoezi siku ya Jumamosi kuelekea mchezo mkubwa dhidi ya Sevilla siku a Jumapili.

Taarifa ya klabu ilisomeka: ” Kufuatia vipimo vilivyofanywa na timu ya matibabu kwa mchezaji Sergio Ramos anakabiliwa na jeraha la misuli katika mguu wake wa kushoto, matibabu yake yataendelea kufuatiliwa kwa karibu.”

Mchezaji huyo wa miaka 35 anaeleka kumaliza mkataba wake mwisho wa msimu huu na bado hajakubali kuongeza mkataba mpya huku zikiwa zimesalia mechi nne pekee msimu kuisha.


TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO

Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!

SOMA ZAIDI

11 Komentara

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Daah pole yake

    Jibu

    Pole sana utakaa sawa

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Pole

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Lakini sasa amerudi tena kuumwa jeraha lake la tatu kwa msimu huu, alikosa mazoezi siku ya Jumamosi kuelekea mchezo mkubwa dhidi ya Sevilla siku a Jumapili.

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.