Nahodha wa Real Madrid Sergio Ramos anakabiliwa na jeraha lingine ambalo litamuweka nje mpaka hatua ya za mwisho katika vita ya kutetea ubingwa wa LaLiga.

Ramos alicheza mchezo wake wa kwanza kwa Real madrid dhidi ya Chelsea baada ya kuwa nje ya dimba kwa wiki saba na kuona timu yake ikitupwa nje ya michuano ya Champions League katika nusu fainali ya pili siuku ya Jumapili.
Lakini sasa amerudi tena kuumwa jeraha lake la tatu kwa msimu huu, alikosa mazoezi siku ya Jumamosi kuelekea mchezo mkubwa dhidi ya Sevilla siku a Jumapili.
Taarifa ya klabu ilisomeka: ” Kufuatia vipimo vilivyofanywa na timu ya matibabu kwa mchezaji Sergio Ramos anakabiliwa na jeraha la misuli katika mguu wake wa kushoto, matibabu yake yataendelea kufuatiliwa kwa karibu.”
Mchezaji huyo wa miaka 35 anaeleka kumaliza mkataba wake mwisho wa msimu huu na bado hajakubali kuongeza mkataba mpya huku zikiwa zimesalia mechi nne pekee msimu kuisha.
TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO
Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!



Adelta
Pole yake
Sarah
Pole yake
Lydia Emmanuel Magoti
Daah pole yake
aisha
Pole sana utakaa sawa
Magdalena
Pole yake
Shakila
Pole San yao
Sania mapua
Pole yake
Furahav
Pole
Sauda
Pole sana
David Pere
Lakini sasa amerudi tena kuumwa jeraha lake la tatu kwa msimu huu, alikosa mazoezi siku ya Jumamosi kuelekea mchezo mkubwa dhidi ya Sevilla siku a Jumapili.
Saupha
Pole yake