Felipe Anderson Atemana na West Ham na Kurejea Lazio

Imethibitishwa kwamba winga wa West Ham Felipe Anderson ameachana na klabu hiyo na kurejea Lazio.

Felipe Anderson Atemana na West Ham na Kurejea Lazio

Mchezaji huyo alijiunga na timu ya Premier League akitokea Lazio mwaka 2018 kwa dili iliyokuwa na thamani ya £34 million ($44m).

Lakini mchezaji huyo wa miaka 28 ametumia msimu uliyopita na klabu ya Porto kwa mkopo na imethibitika kurudi tena katika Serie wakati huu wa majira ya joto.

Anderson alitua Italia siku ya Jumanne kukamilisha dili hiyo ya kurejea na klabu ya Lazio iliweka picha ya mchezaji huyo akiwa amevaa skafu yao kwenye media ya kijamii.

Felipe Anderson Atemana na West Ham na Kurejea Lazio

Ujumbe kwenye tovuti ya West Ham ulithibitisha kwamba dili hiyo imekwishafanyika na Lazio kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Brazil.

Mshambuliaji huyo alifunga mabao 12 katika michezo 72 kwa timu hiyo ya London.

Alikuwa akipangwa kwenye timu ya kwanza katika msimu wake wa kwanza na klabu akicheza mechi 40 kwenye mashindano yote.

Lakini alitumia msimu wa 2020-21 na Porto ya Ureno kwa muda muda mfupi na aliichezea timu hiyo michezo 10 tangu Oktoba iliyopita.


JIUNGE NA FAMILIA YA MABINGWA!

Ndio, kama bado hujajiunga na Familia ya Mabingwa ya Meridianbet, huu ndio wakati wako! Tunakupatia Bonasi ya 3,500 Tsh papo hapo kama sehemu ya ukaribisho!

Italia, Italia Bingwa Euro 2020., Meridianbet

JIUNGE SASA!

3 Komentara

    Anderson hakuwa na msimu mzuri ndani ya Westham

    Jibu

    Hana maajabu

    Jibu

    Hana jipya

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.