Paul Pogba Ameanza Mazungumzo na Boss wa PSG

Kiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba, 28, amefanya mazungumzo na rais wa Paris St-Germain, Nasser Al-Khelaifi lakini klabu hiyo ya Ufaransa inasisitiza kuwa haikuwa kitu zaidi ya kukutana tu.
Paul Pogba
Paul Pogba

Taarifa zinadokeza kuwa Pogba, anatarajiwa kutimka Old Trafford na kujiunga na matajiri hao wa Ufaransa PSG msimu ujao baada ya kushindwa kuingia makubaliano mapya.

Pogba atakuwa mchezaji huru ifikapo mwishoni mwa msimu huku idadi ya timu zinazoonyesha nia ya kumuhitaji zikizidi kuongezeka ikiwemo miamba ya soka Hispania klabu ya Real Madrid.


MUDA WA KUJIACHIA NA CARNAVAL JACKPOT

Mabingwa Meridianbet hawajawahi kukuacha mnyonge hasa katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu, kasino maridhawa ya Carnaval Jackpot inakupa thamani ya dau lako. Kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.