Bundesliga Kucheza Pasipo Mashabiki

Ujerumani, ligi kuu ya Ujerumani Bundesliga, kunauwezekano wa michezo yote iliyobaki ikachezwa pasipo mashabiki, kutokana na kirusi kipya cha korona kuzuku na serikali ya Ujerumani ikijitahidi kupambana na wimbi la nne la kirusi hicho.

Viongozi wa serikali wakiwemo Chancellor Angela Merkel, ambaye anamaliza muda wake na Chancellor Olaf Scholz, ambaye ndiye kiongozi mpya wamekuatana leo kujadili njia watatazozitumia ili kuweza kupambana na kirusi hicho kipya, huku siku ya alhamisi ndiyo inatarajiwa kuwa ndio siku ya kutoa maamuzi kuhusu michezo nchini humo.

Bundesliga
Bundesliga

Pia baadhi ya majimbo yameanza kutekeleza kucheza pasipo mashabiki, katika jimbo la kusini limepitisha kuwa mechi zote kwa sasa zitachezwa pasipo mashabiki.

Ikiwa itapitishwa nchi nzima, basi vilabu vikubwa vinavyoshiriki ligi za Ulaya, kama ligi ya mabingwa na ile ya Europa vitaathiliwa sana kucheza pasipo mashabiki, Bayern tarehe 8 disemba anamkaribisha Barcelona, kama katazo la kutoingia mashabiki liatapitishwa basi Bayern atakosa mchezaji wa 12.


MUDA WA KUJIACHIA NA CARNAVAL JACKPOT

Mabingwa Meridianbet hawajawahi kukuacha mnyonge hasa katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu, kasino maridhawa ya Carnaval Jackpot inakupa thamani ya dau lako. Kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.