Firmino: Liver Ilibadili Mchezo Wangu!

Roberto Firmino ambaye ni msakata kabumbu nafasi ya mshambuliaji wa klabu ya soka ya Liverpool Roberto Firmino ameweka wazi kwamba Liverpool ililazimika kubadilisha mtindo wa uchezaji wake mara baada ya uhamisho wa mshambuliaji wa Brazil, Philippe Coutinho.

Coutinho alihamia Barcelona ya kule Hispania. Pia, mwandishi Rory Smith ana imani kuwa Firmino ataifurahisha sana Bayern Munich na kumsajili iwapo mshambuliaji Lewandowski ataondoka!

3 Komentara

    Habar njema

    Jibu

    Mwisho wa siku Liverpool ilikuwa vizuri zaidi baada ya kuondoka Coutinho#meridianbettz

    Jibu

    Barbosa mwenye liver yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.