NBA: Boston Celtics Yawavua Ubingwa Raptors

Kunako anga la NBA, Boston Celtics wamewavua rasmi ubingwa Toronto Raptors katika michezo ya Eastern Conference na kutinga fainali.

Katika mchezo uliokuwa wakukamilisha mzunguko wa miamba hii, Celtics waliibuka kidedea kwa ushindi wa pointi 92-87.

Boston Celtics nyota imewawakia kwenye NBA Play-Offs.

Almanusura mchezo uwe 90-90 baada ya mchezaji wa Raptors-Fred VanVleet kukosa nafasi ya kupata alama 3 kabla ya Kemba Walker kupachika mpira wa wazi na kupata alama 2 za ushindi kwa Celtics zikiwa zimesalia sekunde 12 mchezo kumalizika.

Jaylen Brown aliifungia Celtics pointi 21 na kucheza mipira iliyokufa mara 8. Sasa Celtics watakutana na Miami Heats kwenye mchezo wa fainali.


SHINDA NA MERIDIANBET!

Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.

Cheza Sasa.

18 Komentara

    Pongezi zao wamefanya vizuri

    Jibu

    Naona Boston Celtics wanajambo lao msimu huu

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Boston wapo vizuri sana

    Jibu

    Boston celtics nawakubali sana

    Jibu

    Wamepambana hadii kimeeleweka

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Nilijua Boston Watashinda tu mana sio kwa speed zile#Meridianbettz

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Boston msimu huu naona wanataka kuwa mabingwa

    Jibu

    NBA naikubal sana ni miongon mwa lig niniazozipenda kuangalia

    Jibu

    Boston Celtics wapo vizuri sana na wamejipanga

    Jibu

    Hongera kwao wapo vizur

    Jibu

    pongezi kwao wamefanya vizuri

    Jibu

    Boston wametishaa

    Jibu

    Hongera yao

    Jibu

    Shavu tuu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.