Mshambuliaji wa timu ya Manchester City, Sergio Aguero amewaambia watu wa karibu juu ya kutaka kujiunga na Klabu ya Barcelona huko Hispania.
Kwa sasa inajulikana wazi ya kwamba Mshambuliaji huyo raia wa Argentina, hatakuwa kwenye kikosi hicho baada ya msimu huu kuisha kwa kuwa hatoongeza mkataba mwingine na kikosi hicho.
Taarifa zinasema kuwa nyota huyo, Sergio Aguero ambaye alicheza ndani ya La Liga akiitumikia klabu ya Atletico Madrid, na kwa sasa anahitaji kurejea tena kwenye ligi hiyo kubwa ya Hispania.
Aguero, mwenye umri wa miaka 32, amekuwa akisemekana kujiunga Chelsea pamoja na Manchester United ambazo zinamuhitaji kumuona nyota huyo akibaki ndani ya Premier League.
KWANI MERIDIANBET WANASEMAJE! MKWANJA UPO KWENYE KASINO MPYA YA MINI POWER ROULETTE.
Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?
Johnmary jo
Haya beans hayo maamuzi yake kubaki au kuondoka#meridianbett#
Venerose
Sio mbaya kazi popote
dorophina
Ni vizuri tu akaribie barca
aisha
Hakuna shida kama nafasi ipo aende tuu
Elika
Kazi popote
Issa
Huna chako kwa pep sepa
Sarah
Kambi popote aende tu
Magdalena
Apambane ataenda tu
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Sania mapua
Aende akakutane na kaka Messi