MANGUNGU: Simba Hii Haigusiki, Hakuna wa Kutuzuia

Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu baada ya wekundu hao kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi anasema, toka awali anaingia Simba alisema hakuna wa kuwafanya wakose ubingwa katika ligi hii na ilikuwa ni suala la muda tu kukalia usukani.

Tulikuwa bize na ligi ya Mabingwa na ndio maana walikuwa wanaongoza katika msimamo lakini bila ya hivyo wangeishatupisha muda mrefu sana,”

SimbaSimba hii haigusiki, hakuna wa kutupokonya ubingwa sijamuona hata mmoja, Simba inamalengo yake ambayo imejipangia toka ligi haijaanza, na huu ni msimu wa nne tunalitwaa taji mfululizo na tutaendelea hivyo hivyo,”amesisitiza Mangungu.

Amesema kazi yao Uongozi ni kuhakikisha wanaweka mipango madhubuti ambayo itazidi kuwafanya wachezaji wao kuwa bora muda wote na kuzidisha ushindani zaidi na zaidi.


KWANI MERIDIANBET WANASEMAJE! MKWANJA UPO KWENYE KASINO MPYA YA MINI POWER ROULETTE.

mini power roulette

Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?

CHEZA HAPA

10 Komentara

    Hongera sana kiongozi kwanza kujiamini na pia wachezaji wako vizuri kazeni buti#meridianbett#

    Jibu

    Hongereni sana timu zima ya Simba

    Jibu

    Mmmmh haya bhuana simbaa

    Jibu

    Simba wameamua msimu huu

    Jibu

    Simba chama kubwa

    Jibu

    Bado sana jitahidin

    Jibu

    Simba chama lao

    Jibu

    Simba moto wa kuotea mbali

    Jibu

    Kabisa yani simba imepamba moto

    Jibu

    Ni kweli simba wanatisha

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.