Alexander-Arnold Anyakua Tuzo ya mchezaji bora kwa Vijana.

Beki wa Liverpool Trent Alexander-Arnold ametoka kimasomaso katika kinyang’aro cha tuzo ya mchezaji bora kijana wa msimu katika ligi ya Premier League.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 alifunga goli 4 na kuhusika kwenye magoli 13 zaidi katika msimu wenye mafaniko 2019-20 na kuona Liverpool wakinyanyua ndoo baada ya ukame wa miaka 30.

Takwimu za Trent Alexander-Arnold msimu 2019-20

Alexander-Arnold pia alisaidia mabingwa hao kupata Clean sheet 12, na kuona mchezaji huyo akiibuka kinara kwenye kinyang’anyiro hicho na kuwabwaga wachezaji wa Manchester United Mason Greenwood, Anthony Mrtial na Marcus Rashford.

Wachezaji wa wili wa Chelsea pia walikuwepo kwenye kinyang’aro wachezaji hao ni Christian Pulisic na Mason Mount pia mchezaji wa Aston Villa Jack Grealish na Dean Henderson wa Sheffield United walikuwepo.

Tuzo ilikuwa maalumu kwa wachezaji wenye umri wa miaka 23 au pungufu kwa msimu 2019-20 na kura zilipigwa na mashabiki.

Alexander-Arnold pia yupo kwenye ushindani wa mchezaji bora wa msimu kwenye Premier League, akiwa na mchezaji mwenzake Jordan Henderson na Sadio Mane lakini pia kuna Kevin De Bruyne, Jamie Vardy, Nick Pope na Danny Ings.


Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.

soma zaidi

41 Komentara

    Kweli kabisa hii tunzo inamfaa kwa kiwango alichoonyesha akiwa liverpool

    Jibu

    Anasitahili tuzo kwa mchango wake ktk kikosi cha Liverpool na England#meridianbettz

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Alexander Arnold n bek mzur sana kuliko hata vady na tuzo hiyo amestahil kuchukua kabisa

    Jibu

    Arnold ulikuw a msimu bora kwake sana

    Jibu

    Hongera zako

    Jibu

    Arnold yuko vizuri sana hongera yake

    Jibu

    Hii tunzo amestahili kabisa kiwango chake kizuri sana

    Jibu

    Pongezi kwake

    Jibu

    Alexander Arnold n bek mzur sana kwa tuzo hiyo amestahil kuchukua kabisa.

    Jibu

    Alistahili kupewa tuzo hiyo kwani ni beki anayejituma sana

    Jibu

    Pongezi nyingi Kwake kwa kupambana hadi kupata tuzo hiyo#,meridianbett

    Jibu

    Kweli kabisa hii tunzo inamfaa kwa kiwango alichoonyesha akiwa liverpool na ataendelea kutisha zaidii

    Jibu

    Amestahili kupata tuzo hiyo

    Jibu

    Alexander ni beki anaejituma sana hivyo basi ni mfano wa kuigwa na mabeki wengine na pia ni haki yake kupata tunzo

    Jibu

    Pongezi kwake Alexander kwa kupata tuzo inayostahili

    Jibu

    Dogo anastahili kwa kweli#Meridianbettz

    Jibu

    Tunzo anastahili kuipata

    Jibu

    Yuko vizuri
    @meridianbettz

    Jibu

    He deserve..

    Jibu

    Hii tunzo inamfaa kiukweli kwa kiwango alichoonyesha akiwa liverpool#Meridianbettz

    Jibu

    Trent Alexander amekuwa vizuri sana kwenye msimu huu wa 2019/2020

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Dogo yupo vizuri anastahiri kupewa tuzo mpambanaji

    Jibu

    he deserve it

    Jibu

    Alexander Arnold anastahili ni miongoni mwa mlinzi wa pembeni ambae kwa sasa amekua na uwezo mkubwa Sana.

    Jibu

    Huu mwaka umekua na mabadiliko makubwa sana na tutaona mengi ambayo hata hatujatarajia kuona big up sana Alexander

    Jibu

    Hongera sana Alexander kiukweli umestahili hii tuzo umejituma sana

    Jibu

    Anastahilii pongezi nyingi sanaaa

    Jibu

    Anastaili kupewa hongera

    Jibu

    pongezi kwake

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Congrat Arnold Alexander 🏆🏆🏆🏆🏆

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Hongea kwake

    Jibu

    Maoni:hongela yake

    Jibu

    Pongezi kwa tunzo hiyo kijana mdogo

    Jibu

    Hongera zake

    Jibu

    Hongera Sana Alexander

    Jibu

    pongeza kwa alexander

    Jibu

Acha ujumbe