Beki wa Liverpool Trent Alexander-Arnold ametoka kimasomaso katika kinyang’aro cha tuzo ya mchezaji bora kijana wa msimu katika ligi ya Premier League.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 alifunga goli 4 na kuhusika kwenye magoli 13 zaidi katika msimu wenye mafaniko 2019-20 na kuona Liverpool wakinyanyua ndoo baada ya ukame wa miaka 30.
Takwimu za Trent Alexander-Arnold msimu 2019-20
Alexander-Arnold pia alisaidia mabingwa hao kupata Clean sheet 12, na kuona mchezaji huyo akiibuka kinara kwenye kinyang’anyiro hicho na kuwabwaga wachezaji wa Manchester United Mason Greenwood, Anthony Mrtial na Marcus Rashford.
Wachezaji wa wili wa Chelsea pia walikuwepo kwenye kinyang’aro wachezaji hao ni Christian Pulisic na Mason Mount pia mchezaji wa Aston Villa Jack Grealish na Dean Henderson wa Sheffield United walikuwepo.
Tuzo ilikuwa maalumu kwa wachezaji wenye umri wa miaka 23 au pungufu kwa msimu 2019-20 na kura zilipigwa na mashabiki.
Alexander-Arnold pia yupo kwenye ushindani wa mchezaji bora wa msimu kwenye Premier League, akiwa na mchezaji mwenzake Jordan Henderson na Sadio Mane lakini pia kuna Kevin De Bruyne, Jamie Vardy, Nick Pope na Danny Ings.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Njiku
Kweli kabisa hii tunzo inamfaa kwa kiwango alichoonyesha akiwa liverpool
Sadick
Anasitahili tuzo kwa mchango wake ktk kikosi cha Liverpool na England#meridianbettz
Furahav
Yuko vizuri
Devotha
Pongezi kwake
Gabriel
Alexander Arnold n bek mzur sana kuliko hata vady na tuzo hiyo amestahil kuchukua kabisa
Issa
Arnold ulikuw a msimu bora kwake sana
Hope mwaikuka
Hongera zako
Sabrina
Arnold yuko vizuri sana hongera yake
Dorophina
Hii tunzo amestahili kabisa kiwango chake kizuri sana
Fatuma kasomo
Pongezi kwake
Latifa juma mohamed
Alexander Arnold n bek mzur sana kwa tuzo hiyo amestahil kuchukua kabisa.
Theckla
Alistahili kupewa tuzo hiyo kwani ni beki anayejituma sana
Johnmary joel
Pongezi nyingi Kwake kwa kupambana hadi kupata tuzo hiyo#,meridianbett
David Pere
Kweli kabisa hii tunzo inamfaa kwa kiwango alichoonyesha akiwa liverpool na ataendelea kutisha zaidii
Omary lukumbi
Amestahili kupata tuzo hiyo
aisha
Alexander ni beki anaejituma sana hivyo basi ni mfano wa kuigwa na mabeki wengine na pia ni haki yake kupata tunzo
Tatu
Pongezi kwake Alexander kwa kupata tuzo inayostahili
warda
Dogo anastahili kwa kweli#Meridianbettz
Nasra
Tunzo anastahili kuipata
Adelta
Yuko vizuri
@meridianbettz
Caroline
He deserve..
Mwajumah
Hii tunzo inamfaa kiukweli kwa kiwango alichoonyesha akiwa liverpool#Meridianbettz
Ernest
Trent Alexander amekuwa vizuri sana kwenye msimu huu wa 2019/2020
Sauda
Hongera yake
Lydia Emmanuel Magoti
Dogo yupo vizuri anastahiri kupewa tuzo mpambanaji
felister
he deserve it
Shafii
Alexander Arnold anastahili ni miongoni mwa mlinzi wa pembeni ambae kwa sasa amekua na uwezo mkubwa Sana.
Zeiyana
Huu mwaka umekua na mabadiliko makubwa sana na tutaona mengi ambayo hata hatujatarajia kuona big up sana Alexander
Samira
Hongera sana Alexander kiukweli umestahili hii tuzo umejituma sana
Neema
Anastahilii pongezi nyingi sanaaa
Fatina mfingi
Anastaili kupewa hongera
Khadija
pongezi kwake
Rehema
Yuko vizuri
Povel
Congrat Arnold Alexander 🏆🏆🏆🏆🏆
Saupha mohamed
Hongera yake
Salma ngende
Hongea kwake
rama
Maoni:hongela yake
Ester jackson
Pongezi kwa tunzo hiyo kijana mdogo
Samiah
Hongera zake
farida ahmadi
Hongera Sana Alexander
magdalena
pongeza kwa alexander