Ferdinand: Liverpool na Man United Muokoeni Sterling

Mchezaji wa zamani wa Manchester United Rio Ferdinand anasisitiza kwamba vilabu vya Manchester United na Liverpool vimsajili Raheem Sterling ilikuokoa kipaji chake baada ya mchezaji huyo kuachwa gizani na Manchester City.
Ferdinand: Liverpool na Man United Muokoeni Sterling
Raheem Sterling

Sterling aliisadia Manchester City kutwaa mataji tangu atue Etihad akitokea Liverpool mwaka 2015, lakini muda wake wa kucheza umepunguzwa na kocha Pep Guardiola.

Mchezaji huyo wa kimataifa wa Ungereza amecheza mara mbili kwa kuanza katika michezo sita ya City kwenye mashindano yotemsimu huu.

“Yupo Raheem Sterling” Amepoteza kujiamini kwa sababu ameondolewa kwenye timu,” Ferdinand alisema kwenye chaneli yake ya FIVE ya Youtube.

“Kama ningekuwa Liverpool, ningemnunua Sterling hata kesho tu… kama ningekuwa yeye nisingekwenda Barcelona au Real Madrid kwa sasa ndiyo maana nasema Liverpool Man United watamchukua.

Sterling alimaliza kama mmfungaji bora wa City kwa misimu miwili katika Premier League akiwa na mabao 20 katika michezo 33 ya EPL, na alizidiwa na Ilkay Gundogan (13) msimu uliyopita yeye akiwa na mabao 10.


FUNGA BAHATI YAKO NA MERIDIANBET.

Ni wakati wa ushindi mkubwa ukiwa na kasino bomba ya Lock a Luck, meridianbet wanakupa sababu ya ushindi, funga bahati yako ya ushindi ukiwa na mabingwa.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.