Laporta: Uchumi wa Barcelona ni Dhaifu Sana

Joan Laporta alielezea jinsi hali ya kifedha ya Barcelona ilivyo dhaifu wakati wa mkutano na waandishi wa habari siku ya Jumatatu, ikiwa na hasara ya euro milioni 451.
Laporta: Uchumi wa Barcelona ni Dhaifu Sana
Uwanja wa nyumbani wa Barcelona, Camp Nou

Baada ya kulinganisha hali yao na vilabu vingine, Laporta alitambua kuwa Barcelona imekuwa ikitumia zaidi kulipa mishahara.

“Barcelona wana jumla hasara ya euro milioni 451,” Laporta alitangaza, na pia kuwa na “muswada wa mshahara ambao unawakilisha asilimia 103% ya mapato yote ya klabu. Inawakilisha asilimia 20-25 zaidi kuliko washindani wetu.”

Rais wa Barcelona alibaini kuwa hawajapata hurahisi kuwahimiza wachezaji kukubali kandarasi za malipo ya chini.

“Tumepata hali ngumu wakati wa kujadili tena mikataba ya wachezaji,” Laporta aliongeza.

“Kulikuwa na modus operandi ambayo ilipita udhibiti wa ndani.”


MUDA NI MKWANJA, MKWANJA NI SAHARA RICHES.

Ni muda wa kuwa milionea na kasino za mtandaoni za meridianbet, mchezo wa Sahara Riches unakupa nafasi ya kushinda mkwanja mrefu. Matajiri wa jangwani wanataka wakupe mkwanja leo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

3 Komentara

    Barca imepotea

    Jibu

    Barce hawana jipya

    Jibu

    Wamefulia Barcelona

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.