Milan Wanogewa na Tomori, Wanamtaka Mazima

Klabu ya AC Milan wanataka kumsajili moja kwa moja mchezaji wa Chelsea Fikayo Tomori ambaye yupo na miamba hao wa Italia kwa mkopo  Stefano Pioli amethibitisha.
Milan Wanogewa na Tomori, Wanamtaka Mazima
Fikayo Tomori

 

Tomori alitua Milan kwa mkopo mwezi Januari baada ya kuachwa katika kikosi cha The Blues huko Stamford Bridge kabla ya kugundua ubora wake huko San Siro.

Beki huyo wa miaka 23 alikuwa nguzo muhimu kwa mara nyingine katika ushindi wa 3-0 dhidi ya mahasimu wao Juventus siku ya Jumapili na pioli ameelezea baada yamcheoz huo kumalizika klabu imeazimia kutimiza kipngele cha kumnunua moja kwa moja kwa dau la £26 million ($37m).

“Tunataka kumnunua Tomori kwa dili ya kudumu kutoka Chelsea,”  Bosi huyo wa Milan aliwaambia Maripota. “Dhamira yetu ipo wazi na pia ni maamuzi ya Fikayo ( Kukaa Milan) Tutaona itakuwamwsiho wa msimu.


PESA IPO HAPA KATIKA KASINO YA LUCKY LUCKY.

Hii ndiyo burudani yenye ushindi! Ingia kwenye kasino ya Meridianbet kufukuzia ushindi huu. Cheza sasa Lucky Lucky na uwe moja ya washindi na Mabingwa.

CHEZA HAPA

4 Komentara

    Waweke dau la kutosha mezani

    Jibu

    Pesa ndio kila kitu

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Vizuri kikubwa pesa tuu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.