Jose Mourinho amepoteza michezo mitatu mfululizo akiwa na Tottenham na timu imeshuka mpaka nafasi ya nane sasa hatima yake ndani ya timu hiyo ya Premier League imekuwa katika viulizo.
Spurs ilipanda mpaka kileleni mwa ligi miezi miwili iliyopita, lakini imeshuka kiwango na safu ya ushambuliaji imekuwa haiko vizuri kwa sasa.
Majeraha ya Harry Kane ya hivi karibuni walipopoteza kwa 3-1 dhidi ya Liverpool hali hiyo imechangia katika matatizo ya Mourinho yanayoendelea, ingawa hayupo katika shaka ya kupoteza kibarua . Spurs itakosa subira ikiwa Mourinho atapoteza lakini Mourinho amejitokeza na kutetea nafasi yake kwa kusema bado anaweza kutwaaa taji msimu huu.
“Naweka presha juu yangu mwenyewe,” Mourinho aliwaambia maripota baada ya kupoteza kwa Chelsea 1-0 wakiwa nyumbani. “Sitaki mwingine kuweka presha kwangu kilasiku. Tangu mwaka 2012 bila vipigo vitatu mfululizo? lakini kuanzia bhapo bila taji? Labda naweza kuleta moja.
Spurs wanajiandaa kukabiliana na Wets Brom katika mchezo wa Prremier League ambao wamekuwa na uchu wa kupata alama ili wajitoe katika mstari wa kushuka daraja na kurejea katika Championship.
“Kitu muhimu kwa sasa ni mchezo na West Brom,” aliongeza Mourinho. ‘sihitaji kufikiria Everton au Manchester City.
Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.



Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri
Issa
Timu kama imemshinda
Magdalena
Mourinho tatizo anajiamini Sana arafu anajisahau
Adelta
Kujiamini ndiyo kila kitu
Khadija
Nice
Dorophina
Mourinho anajiamini sana wakati anafanya vibaya
Sarah
Mourinho kujiamini kumepitiliza
Sania
Mhh Maurinho simuelewi
Hopemwaikuka
Kujiamin tu ndo nachompendea
warda
Kujiamini ndio kila kitu