Tottenham watakuwa wenyeji wa Vitesse katika michuano ya Europa Conference League na utakuwa mchezo wa kwanza wa kocha Antonio Conte tangu achaguliwe kuwa kocha mkuu wa Spurs kufuatia kutimuliwa kwa Nuno Espirito Santo kwa hiyo utakuwa mchezo wa kipekee kwa Tottenham.

Spurs wanakuja kwenye mchezo huu wakiwa wametoka kwenye kipigo cha 3-0 kutoka kwa Manchester United lakini pia wanakumbukumbu ya kupoteza kwa 1-0 kutoka kwa wageni wao wa leo mchezo wa awali sasa utakuwa mchezo wa kisasi kwa Spurs.
Taarifa ya Timu
Ujio wa Conte huko London utawafanya Spurs kwenda mfumo wa 3-5-2 lakini Bryan Gil na Ryan Sessegnon ni kama hawatohusika kwenye mtange wa leosababu ya majeraha ya misuli.
Joe Rodon, Matt Doherty na Dele Alli watapata fursa ya kucheza chini ya usimamizi mpya ambaye atawachezesha Harry Kane na Lucas Moura mbele.
Kwa Upande wa Vitesse mfungaji pekee wa mechi iliyopita Wilttek anaweza asihusike kwenye mchezo huu sababu ya jeraha wakati mlinzi wa kushoto Million Manhoef pia anasumbuliwa na jeraha la goti hivyo hatacheza leo.
Yann Gboho atacheza kushoto baada ya kucheza eneo la katikati wikendi iliyopita wakati Matus Bero anarejea baada ya kumaliza kutumikia adhabu yake.
Kikosi cha Tottenham Kinachoweza Kuanza: Gollini; Tanganga, Romero, Rodon; Doherty, Alli, Hojbjerg, Skipp, Reguilon; Kane, Lucas
Kikosi cha Vitesse Kinachoweza Kuanza: Schubert; Doekhi, Rasmussen, Bazoer; Dasa, Bero, Tronstad, Gboho; Frederiksen, Openda; Darfalou
ODDS BOMBA ZA KUBASHIRIA MECHI HII
Mchezo umalizike kwa magoli manne au zaidi (over 3.5) Odds 2.55
Wa nyumbani kushinda na yapatikane magoli 0-2 (1&0-2) Odds 3.65
Timu zifungane na yapatikane magoli matatu au zaidi (GG&3+) Odds 2.70
Mkwanja umetema ndani ya kasino za meridianbettz, Mchezo maridhawa wa Aurora Beast Hunter unakupa nafasi sawa ya ushindi leo hii, kila mzunguko una nafasi ya kuibuka mshindi, na mkwanja wako unaupata kila mzunguko utakapo kamilika.


