YANGA: Tutamaliza VPL kwa Heshima

Kocha Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi amesema hana hofu na mbio za kuwania ubingwa wa Ligi Kuu zilizopo sasa na kuongeza ‘hesabu’ zitakamilika vyema katika mechi ya mwisho ya kumaliza msimu wa 2020/21 na si vinginevyo.

Yanga - Session

Kwa sasa kila mmoja anajipanga kupata ushindi ili kujiimarisha, huwezi kujua nini kitatokea katika mechi zilizobakia, hakuna ambaye ana uhakika na kile ambacho anakitaka, tutaendelea kujipanga kutafuta matokeo mazuri,” alisema Nabi.

Baada ya mechi ya jana usiku dhidi ya Azam FC, kikosi cha Yanga kitajiandaa na safari ya kuelekea Sumbawanga kuwafuata Tanzania Prisons kwa ajili ya mchezo wa hatua ya 16 Bora ya mashindano ya Kombe la FA utakaochezwa Ijumaa kwenye Uwanja wa Nelson Mandela.


KWANI MERIDIANBET WANASEMAJE! MKWANJA UPO KWENYE KASINO MPYA YA MINI POWER ROULETTE.

mini power roulette

Unawezaje kukosa ubingwa ndani ya kasino hii maridhawa, Nafasi ya kushinda mkwanja ni kwa kila mtu, Meridianbet inakupa nafasi ya kuwa mmoja ya washidi leo, unasubiri nini?

CHEZA HAPA

14 Komentara

    Mashabiki tunasubilia kuona maajabu hayo

    Jibu

    Ni mawazo manzur

    Jibu

    Wana jangwan wajikaze

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Haya tunasubili kuona kila raheri kiongozi#meridianbett#

    Jibu

    Mashabik tunasubir kwa hamu

    Jibu

    Oky kama ataweza sawa lakini isije ikawa ni mbio za sakafuni

    Jibu

    Wakazee buti

    Jibu

    Inawezekana wakiongeza juhudi

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Waache kujifariji

    Jibu

    Wanajifariji tu

    Jibu

    jambo zuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.