Winga wa Klabu ya Borussia Dortmund, Jadon Sancho amesema kuwa “anafurahi sana” kushirikiana na wachezaji wachanga wa Klabu hiyo na anataka kusaidia kuwaongoza – Winga huyo wa kimataifa England mwenye umri wa miaka 20, ndiye chaguo la kwanza msimu huu wa joto kusajiliwa na Manchester United.
Lakini Mkurugenzi wa Michezo wa Dortmund, Michael Zorc alisema Jumatatu Sancho ataendelea kusalia kwenye Klabu hiyo ya Ujerumani msimu ujao.
“Ninafuraha na maisha ya hapa,” alisema Sancho baada ya kuanza maandalizi kwa mchezo wa kirafiki Buki nchini Uswisi, wote pamoja na Jude Bellingham na Gio Reyna wenye umri wa miaka 17 wakicheza mechi hiyo.
“Sisi ni kundi maalumu. Tuna wachezaji wachanga maalumu wanaochipukia, Nimefurahia sana kushirikiana nao na kuwaongoza”.
“Nilijiunga nilipokuwa na umri wa miaka 17 – baadhi ya wachezaji wengine wana umri kama huo, Nimekuwa hapa na nimefanya vema. Naweza kuwaongoza katika kile kizuri na kisichosawa kufanya, Naweza kuwahimiza kwa matumaini pia.”
United ni kama wameshindwa Kumsajili kinda huyo wa zamani wa Manchester City, kwani wanadhani dau wanalotaka Dortmund takribani £100m, mshahara wa mchezaji na ada ya wakala yote ni ya juu sana kutokana na athari ya kifedha baada ya janga la COVID-19 – Tarehe 10 Agosti ilikuwa ndio mwisho wa klabu hiyo ya Bundesliga kupokea ofa kuhusu uhamisho wa Sancho.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Theonestina
Safi
Zeiyana
Sancho yupo sawa me sioni haja ya kwenda clabu yengine ikiwa bado hanafasi nzuri tu pale Dortmund kama mchezaji tegemezi mwenye uwezo kwa kiasi..!
Mwajumah
Nice
Adelta
Sancho Yuko vizuri na anawafurahia wachezaji wezanke na umoja Ni nguvu siku zote@meridianbettz
Ester jackson
Sancho ni mchezaji anae juwa na hakuna timu ambayo ingemkataa yeye ila kwa sababu yeye anapenda kuendelea Dortmund basi tunaheshimu maamuzi yake
Dorophina
Sancho yupo sahihi anaamani na mahala alipo ni vizuri hata kazi zako unakuwa unafanya ki uhuru
aisha
Sancho ni mchezaji mzuri halafu anachokiamini kuwa furaha ndio mafanikio yake hauwezi kuchezea club ambayo hauipendi inamaana utakosa mafanikio kwa kutokipenda kitu nakutakia mafanikio mema
Mwanahamisi
Sancho Ni mchezaji mzuri sana mm sioni haha ya kwenda kwenda club nyingine
Fatina mfingi
Sancho Ni mchezaji mzuri San na nibora abaki club yake
Rose kapinga
Sancho tulia tuu upo sehemu salama!!!
Caroline
Safi sana.ni vizuri kua na furaha na unachofanya.inaongeza ufanisi wa kazi
Sauda
Dortmund pazuri, abaki hapo hapo.
Tatu
Sancho ni mcgezaji anajielewa na kupenda kushikiliana na wezake kwenye mazoez
felister
always umoja ni nguvu utengano ni dhaifu
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana Sancho kwa maisha ya Dortmund Uzidi kupambana iliufikie malengo yako
Ernest
Man U wanatakiwa kutafuta Mbadala wa Sancho maana kila siku habari mpya
Sadick
Nadhani Sancho anatakiwa kufikiria mara mbili mbili kuondoka Dortmund iliyomupa nafasi ya kucheza na kujulikana. Coutinho mpaka leo atakuwa anajuta kuondoka Liverpool iliyomupa nafasi ya kucheza na kujulikana kila mahali. Dortmund ndio mahali sahihi kwake kuwepo#meridianbettz
Sabrina
Safi sana kula maisha dortmund
Njiku
Pesa nyingi sana ambayo wanaitaka kwa Sancho man wanatakiwa kuachana klna Jordan Sancho na kuangalia wachezaji wenye uwenzo mkubwa na wapo kwenye vilabu vidogo vidogo
Nasra
Kwa maneno haya wale makocha waliokua wakiwania kandarasi yake waangalie sehemu nyengine.
Saupha mohamed
Good news
Shafii
Kwa vilabu ambavyo vilikua na kiu na Sancho hasa man u wajipange upya kwa msimu ujao.
Issa
Ni noma sana
Janeflora malisa
Nice
Furahav
Sawa
Devotha
Ole lengo lake kubwa alikua ni kumpata Sancho kutokea dortmund
Hope mwaikuka
Gud to hear this
Povel
Gud
David Pere
Nadhani Sancho anatakiwa kufikiria mara mbili mbili kuondoka Dortmund iliyomupa nafasi ya kucheza na kujulikana. Coutinho mpaka leo atakuwa anajuta kuondoka Liverpool iliyomupa nafasi ya kucheza na kujulikana kila mahali. Dortmund ndio mahali sahihi kwake
warda
Mda mfupi tu kesha anza kufurahia!Duuu huyu atakuwa muongo!#Meridianbettz
magdalena
united wameshindwa kumnyakua sancho sidhani kama nafasi iyo itakuja kupatikana tena
Gabriel
Hapa ole gunar ameshafel kabisa maana n mchezaji ambaye alikuwa na ndoto nae kikosin
Khadija
sancho namkubali sana
Genia Sikaluzwe
Habari njema Sana
Theonestina
Safiii