Kocha mkuu wa timu ya taifa ya Zambia Milutin ‘Micho’ Sredojevic Chipolopolo asifu usajili wa Larry Bwalya ndani ya Simba SC.
“Simba ni timu nzuri na kubwa ukanda wa Afrika Mashariki. Larry ana uwezo mzuri sana hususani kwa timu ambayo inatumia mfumo wa total football. Simba nawajua, Simba ni waumini wa hilo kwa falsafa za rafiki yangu Sven. Mafanikio yake huko ndio uimara wa mimi kumtumia national team endapo atakuwa vyema“.
Waandishi wengi wa habari za michezo nchini Zambia, wameusifu usajili wa mchezaji huyo ambaye wanamtambua kama “ locomotive-box to box midfielder mwenye uwezo mzuri wa kupiga pasi zenye macho, kuibadili mfumo wa uchezaji kwa maana ya ku- unlock patterns za ulinzi za mpinzani.
Msimu wa 2017-18 , almanusura Larry Bwalya aungukie kwa wapinzani wakubwa wa timu aliyokuwa akiichezea ya Power Dynamo , timu ya Nkana Red Devils. Power Dynamo walipambana kumbakisha Larry kwa kumuongezea dau katika mkataba mpya na mshahara wake.
Ni mchezaji mpole na mwenye nidhamu ndani na nje ya uwanja .
“Wakala wangu aliniambia Simba na Yanga za Tanzania zinanitaka. Nikamwambia nahitaji kucheza klabu bingwa Afrika “ alisema Bwalya
Maneno ya Bwalya ndio yamewanyima Yanga SC ya Tanzania kumnyakua kiungo huyo mwenye uwezo mkubwa na kujikuta mikononi mwa wapinzani wao Simba SC .
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Basi fahamu kuwa kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.
Adelta
Mashabiki tumefurahishwa na usajili @meridianibettz
Zeiyana
Hayo maneno yake tu tutakutana kwenye mtanange…! watu kama hao mwenye maneno maneno mwisho wa siku wanatokea wakina Morrison
Ester jackson
Good news
Theonestina
Safi sana
Mwajumah
Asante kwa makala#Meridianbettz
aisha
Karibu sana simba ili utupe matunda uliyonayo
Mwanahamisi
Safi sana
Dorophina
Habari njema kwa mashabiki
Fatina mfingi
Karibu msimbazi!!
Rose kapinga
Pongezi kwenu Simba kwa usajili mzur!!
Sauda
Safiiiii
Caroline
Habari njema izi
Tatu
Simba wapo vizuri wanajipanga kwa msimu ujao tukutane uwanjani
felister
habari njema kwa mashabiki wa simba
Lydia Emmanuel Magoti
Habari Nzuri kwa sisi mashabiki wa wa mzimbazi
Ernest
MIruzi mingi umpoteza Mbwa, ngoja tuone kazi yake msimu ukianza hii ndio Tanzania bhana
Sadick
Majina ya Bwalya ni makubwa ktk soka nchini Zambia. Tunatarajio kuona uwezo wake uwanjani. Hongera Simba#meridianbettz
Sabrina
Vigezo na masharti kuzingatiwa, simba angalieni msije mkapitiliza idadi ya kusajili
Njiku
Acha tuone maneno mengi ya nini
Nasra
Pongezi za dhati ziende kwa uwongozi wa simba.
Saupha mohamed
Pongezi kwa simba
Shafii
Wana simba wana kiu ya kuona uwezo wake.
Issa
Aah maneno tu simba wana kawaida ya kumkizisha mchezaji
Janeflora malisa
Safi sana simba
Furahav
Welcome bwalya in Tanzania.
Devotha
Karibu Sana Simba sports club kijana Bwalya👏
Hope mwaikuka
Usajil uko on fire
Povel
Ngoj tuone msimu ujao tumpe credit
Tahiya
Pongez kwao
David Pere
Hayo maneno yake tu tutakutana kwenye mtanange…! watu kama hao mwenye maneno maneno mwisho wa siku wanatokea wakina Morrison
warda
Tunashukuru kwa kupata sifa hizo#Meridianbettz
magdalena
simba ikiendelea na juhudi hizi vizuri itanyakua makombe mara dufu
Shan
Pongezi kwa uwongozi wa simba.
Neema
Safii sana kwa habari
Gabriel
Usajil wao uko vzur
Khadija
habari njema kwa mashabiki