Alisson-Fabinho Alikuwa 'Jini' Dhidi ya Chelsea.

Fabinho alikuwa ni “Jini” katika ushindi wa 2-0 wa Liverpool dhidi ya Chelsea siku ya Jumapili hii ni kwa mujibu wa Alisson.

Joe Gomez na Joel Matip walikuwa majeruhi, hivyo kupelekea Fabinho kuja kucheza kama beki wa kati akisaidiana na Virgil van Dijk wakiwa ugenini darajani na kocha Jurgen Klopp alielezea ubora wake.

Mbrazili huyo alikuwa ni ufunguo na kuisadia Liverpool kutoruhusu wenyeji kupata goli katika lango la majogoo hao wa London kwa kuidaaka penati iliyopigwa na Jorginho.

Wakati Sadio Mane akifunga magoli mawili, kazi ilibaki kwa Fabinho kuwazuia wachezaji Timo Werner na Kai Harvetz ambao ni wageni kutoleta madhara langoni kwa Alisson.

Alisson-Fabinho Alikuwa 'Jini' Dhidi ya Chelsea.
Fabinho na Mateo Kovacic

“Alikuwa ni Jini,” Alisson aliiambia tovuti rasmi ya klabu. “Ilkuwa haiaminiki lakini nilitarajia hayo kutoka kwake.

“Kiukweli ni mchezaji makini sana ana kaba, ana cheza pasi kwa pasi hiyo ilihitajika sana dhidi ya Werner na Harvetz na wachezaji wengine kwa kiwango bora kabisa, kwa hiyo nampongeza na kwa upande wangu yeye ndiyo alikuwa nyota wa mchezo.

Mchezo huo uliyopigwa London Magharibi ulidhihirisha ni jinsi gani timu ya Jurgen Klopp imedhamilia kutetea ubingwa wake baada ya kucharaza Leeds United ambao wamepanda daraja msimu huu kwa 4-3 katika dimba la Anfield.

Liverpool watakabiliana na Arsenal siku ya Jumatatu, Arsenal ambao pia wameshinda michezo yote miwili ya ufunguzi kwa kufunga Fulham na West Ham.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

34 Komentara

    Kweli hii

    Jibu

    🙊

    Jibu

    Alitisha saana

    Jibu

    Hamna kitu hapo Chelsea kilicho waangusha ni kepa ambaye anarudia makosa yale yale kama Chelsea wangempumzisha kepa kumuweka langoli goli kipa namba 2 au watafute kipa mwingine mana timu iko vizuri sana kwa wachezaji kama wakipata kipa bora watakuwa katika nafasi zuri na kocha frenk ataokoa kibarua chake kutoka kwa Chelsea.

    Jibu

    Alifanya vizuri Sana na hali ipambania Liverpool alijitaidi Sana mpaka Liverpool kupata magoli 2 usifanye masiala bek kuzui mipila isifike kwenye goli lao kushambuliwa kajitaidi sana

    Jibu

    mchango wake ulikuwa mkubwa sana siku ile alionesha maujuzi yake yote kuhakikisha liver wanapata ushindi

    Jibu

    Kwa upande wa Liverpool wao wako vizuri kuichezaji

    Jibu

    Liverpool kupata magoli 2 usifanye masiala bek kuzui mipila isifike kwenye goli lao kushambuliwa kajitaidi sana

    Jibu

    Mchezaji mzuri sana mwenye kiwango cha juu,na siku zote hafanyi makosa uwanjani anapopata nafasi nzuri!!!

    Jibu

    Kiukweli tu Chelsea hawauwezi mziki wa Liverpool bado wajipange sana

    Jibu

    Chelsea walicheza chini ya kiwango ndio mana Liver wameonekana Bora zaidi

    Jibu

    Lilikiwa jini kweli ila alkichafua pale kati

    Jibu

    Kimsingi Liverpool pekee ndio ilicheza mpira kipindi chote cha pili na Chelsea ilifanya kazi moja tu kuzuia#meridianbettz

    Jibu

    saf

    Jibu

    Liverpool hawakoseagi pia hawana kazi mbovu

    Jibu

    Fabinho alikua kweny kiwango Bola

    Jibu

    Good

    Jibu

    Liverpool wapo vizuri

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Liverpool namba nyengine

    Jibu

    yuko vzr

    Jibu

    Liverpool wanatufurahisha sana

    Jibu

    Tena hizo ndogo wangechapwa ata name kama barcelona

    Jibu

    Chelsea ni wapo vizuri lakini Kuna makosa wamefanya ndio yaliyopelekea kusababisha liver kupata ushindi

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Fabinho yupo kwenye kiwango kizuri

    Jibu

    Fabi kakipiga CB na kuiweza mpaka Calsburg kumpa 10/10 man of the match so mchezo na yeye natural ni midle alitisha sana

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Allison ni mchezaji makini Sana..na anakaba sanaa

    Jibu

    Ukweli mtupu

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Hamna kitu hapo Chelsea kilicho waangusha ni kepa ambaye anarudia makosa yale yale kama Chelsea wangempumzisha kepa kumuweka langoli goli kipa namba 2 au watafute kipa mwingine mana timu iko vizuri sana kwa wachezaji kama wakipata kipa bora watakuwa katika nafasi zuri na kocha frenk ataokoa kibarua chake kutoka kwa Chelsea.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.