Ukitaja jina Usain Bolt wapenzi wa mchezo wa riadha wanajua balaa la huyu mwamba, sasa yeye anaamini Christiano Ronaldo ambaye ni mwanasoka ana kasi zaidi yake.
Bolt alistaafu riadha mwaka 2017 lakini mshindi wa medali za dhahabu mara tisa katika Olympic bado anashikiria rekodi ya dunia katika mbio za mita 100 na 200.

Mwanamichezo huyo mwenye umri wa maiak 34 aliishangaza dunia kwa kukimbia muda wa sekunde 9.58 kwenye mbio za miata 100 mwaka 2009 katika michuano ya World Championship mjini Berlin, wakati pia alikamilisha mita 200 kwa sekunde 19.19 miaka 11 iliyopita katika jiji hili la Ujerumani.
Lakini Bolt anahisi mshindi huyo wa tuzo ya Ballon d’Or na mwanasoka anakasi kuliko yeye mwenyewe.
“Hakika, Christiano anakasi kuliko mimi,” shabiki wa Manchester United Bolt ambaye kipindi flani alitaka kuingia soka na alipendelea kujiunga na Borrusia Dortmund aliiambia Marca Sport Weekend.
“Kwangu mimi naona anafanya kazi kila siku ni mwanamichezo mahiri.
Ronaldo amefunga magoli 6 katika Serie A msimu huu wakati mchezaji huyo mwenye umri wa miak 35 alifunga kwenye ushindi wa 7-0 mchezo wa kirafiki dhidi ya Andorra siku ya Jumatano.
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!



magdalena
ronaldo kweli mbio zake si za kitoto
Tatu
Bolt awezi kufananishwa na pumzi za ronaldo za ukimbiaji
Lydia Emmanuel Magoti
Bolt anacho kisema nikweli Ronaldo anambio Lakini sio zakumpinga yeye Bolt
Dorophina
So kweli bolt ananguvu sana
Antony Luseno
Kwa hali kama hii unatamani lingewepo shindano ili kumaliza utata
Adelta
Ronald Yuko vizuri huwezi kumlinganisha na bolt au Kama vip tuandaye shindano
Sauda
Ronaldo anakimbia kama kibelenge.
Fatina mfingi
Ronaldo yuko vizur Kila idara ww!!
Carolyn
Ila ronaldo anakimbia jmn.
Hopemwaikuka
Wapi buana akupat
Issa
Ni cr 7 mazoez yanamfany awe bora zaid
felister
Ronaldo mtu mwngn kabisaa
Rahma
Ronaldo nimemuelewa sana
Povel
Bolt huwez kumfananisha na cr7 katika masual ya kukimbizah upepo
aisha
Cr 7 amekuwa kwenye kiwango bora sana
Ester jackson
Mm naona ni mawazo yake tu mana huwezi fananisha kukimbia riadha na kukimbiza mpira nikitu tofauti
Janeflora malisa
Safi
David Pere
Bolt huwez kumfananisha na cr7 katika masual ya kukimbizah upepo
Saupha mohamed
Ronaldo MTU mbayaaa
zeiyana
hadi leo hajatokea mbadala wa ronaldo,,,wengine wanamuita ”Jet ya Ardhini”
Sabrina
Ronald anambio km kishada yuko vizuri
Mwajumah
Ila Ronaldo anakimbia jamn