Lorenzo Colombo anafuraha kwamba bidii yake imemfanya acheze mchezo wake wa kwanza na kufunga goli Milan iliposhinda 3-2 dhidi ya Bodo/Glimt siku ya Alhamisi.
Colombo ambaye ni zao kutoka akademi ya Milan, aliiweka mbele Milan kwa 2-1 katika mchezo wa kufuzu kucheza Europa League.
Akiwa na umri wa miaka 18 na siku 200 Colombo amekuwa mchezaji mdogo zaidi kuifungia goli miamba hiyo ya Italia tangu M’Baye Niang afanye hivyo mwaka 2012.
Lorenzo alipelekwa katika nafasi ya mkongwe Zlatan Ibrahimovic, ambaye alipimwa na kukutwa na maambukizi ya Corona na Milan wanaamini aliitendea haki nafasi yake kung’aa.

“Iikuwa ni fursa ya kipekee kwangu kucheza, nilifanyia kazi kwa bidii kufika hapa,”aliiambia DAZN.
“Nilipata hisia ya kipekee, nimekuwa nikihangaikia hili, bado kuna mengi yanafuata bado sijafanya kitu chochote.
“Ninafuraha kwa kupata goli, ukurasa mpya nimeuanza lakini kesho tunarudi mazoezini kwaajili ya kujiandaa na changamoto inayofuata.
Colombo alikuwa akihusishwa kuondoka klabuni hapo ili apate timu itakayompa kucheza katika kikosi cha kwanza amesema hatoondoka Milan kwa sasa.
“Nataka kubaki,” alisema. “Nilikuwa hapa Milan tangu mdogo na ninafanya bidii ninataka kuwa hapa kwa muda mrefu.
Alipo ulizwa kama atamuweka sokoni Colombo katika dirisha hili la usajili Stefano Pioli alijibu: Nitaondoka mimi kabla ya Colombo, nataka kuwa hapa.”
Pioli pia alimsifu Colombo baada ya kumkosa mchezaji ambaye amekuwa katika kiwango kizuri Ibrahimovic ambaye amegundulika kupata covid-19.
“Ni kijana wa kipekee ambaye amekamilika, ana hamu kubwa ya ushindi, ni kijana mdogo sana na furaha amefunga katika mchezo wake wa kwanza.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


Janeflora malisa
🔥
Sadick
Inafurahisha kuona mchezaji aliyekulia kwenye Academy ya Timu husika na kupata mafanikio hapo#meridianbettz
Theonestina
Inapendeza sana
Leonard
Ana uwezo
aisha
Colombo yuko vizuri sana na ndio maana alifunga goli la kijanja
Venerose
Hongera sana
magdalena
anafurahia jitihada zake alizozifanya mpaka kupatikana kwa goli ilo safi sana kijana
Adelta
Yuko vizuri anaonyesha jitihada zake
Ernest
Mwanzo mzuri kwa Colombo
Mwajumah
Inapendeza sana hakika ni mwanzo mzuri kwa Colombo
Tatu
Colombo asiondoke milan hapo ndio panamfaa na kukuza jipaji chake ukiangali bado kijana mdogo
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana Milan Colombo yupo vizuri
Fatuma kasomo
Mwanzo wake mzuri
Sauda
Goli la uhakika
Rose kapinga
Kipaji anacho!!
Dorophina
Colombo yupo vizuri uwanjani anajitahidi sana
Issa
Zao lingine hili zlatan ajaye
Elika
Hongera sanaaaaaa kwako kolombo
Samiah
Clombo yupo vzr
Hopemwaikuka
Go colombo
Rehema
Inapendeza sana
Shan
Mwanzo mwema kwake na kwa Colombia
Shan
Mwanzo mzuri kwake na Colombo
Gabriel
jitihada zake alizozifanya mpaka kupatikana kwa goli kwan Mwanzo wake mzuri
Caroline
Hongera Sana Lorenzo
Nasra
Iko vzuri sana
Frank P
Nice thing
Zeiyana
Ameanza vizuri maisha yake ya soka
Tumaini kasalile
Nice
Ester jackson
Hongera sana
Sabrina
Safi sana
Neema
Inapendeza sana colombo
Zahara omary
Safi snaa
Flomena
Colombo alikuwa akihusishwa kuondoka klabuni hapo ili apate timu itakayompa kucheza katika kikosi cha kwanza amesema hatoondoka Milan kwa sasa.
Fatina mfigi
Safii
felister
mwanzo mzuri
Saupha mohamed
Safi sana
Amiri Kayera
Mwanzo mzur km mchezaj
Latifa juma mohamed
mwanzo mzuri
David Pere
Inafurahisha kuona mchezaji aliyekulia kwenye Academy ya Timu husika na kupata mafanikio hapo
Povel
Congrat kwake