Droo ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa

Katika droo ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa-UEFA, Atalanta wataumana uso kwa na PSG kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, wakati Juventus wao wamepangwa na Real Madrid au Manchester City, na Napoli na Bayern Munich.

Droo hii imefanyika Lisbon, ambako mechi za michuano hii pia zitafanyika mwezi Agosti. Hii nin kufuatia mabadiliko yaliyofanyika baada ya Likizo ya Corona, kuwa mechi zote zitachezwa katika uwanja mmoja.

Atalanta, Atletico Madrid, RB Leipzig na Paris Saint-Germain walishafuzu kuingia robo fainali. Baadhi ya vilabu vitatakiwa kumalizana na mzunguko wa timu

Baadhi ya vilabu kutoka nchi moja vitakutana, itategemea na nani atatoboa katika hatua hii.

Droo ya Robo Fainali – Ligi ya Mabingwa Ulaya

Real Madrid/Manchester City v Juventus/Olympique Lyon

RB Leipzig v Atletico Madrid

Napoli/Barcelona v Chelsea/Bayern Munich

Atalanta v PSG

Droo ya Nusu Fainali

Manchester City/Real Madrid/Juventus/Lyon v Barcelona/Napoli/Bayern Munich/Chelsea

RB Leipzig/Atletico Madrid v Atalanta/PSG

Ratiba

Robo Fainali

Agosti 12, 13, 14, 15

Nusu Fainali

Agosti 18, 19

Fainali

Agosti 23

 


Bashiri HAPA

38 Komentara

    PSG….wako vzuri

    Jibu

    Michuano mikali

    Jibu

    Hizi mechi zitakuwa ngumu sanaa maana kila mmoja anaka ashinde ili asonge mbele maana UEFA inautamu wake

    Jibu

    Hizi mechi zitakua ngumu sababu timu zote ziko vizuri

    Jibu

    Asanten kwa taarifa.

    Jibu

    nasubiri tu city na Madrid

    Jibu

    Huu mchuano utakuwa wa Moto maana team zote ziko vizur

    Jibu

    Ligi bora

    Jibu

    Mchaka mchaka unaanza tena hyo ukipigwa nje haina home and away

    Jibu

    Tulimiss burudani ya soka#meridianbettz

    Jibu

    Imekaa poa sana hii droo

    Jibu

    Hii michuano iko Vizuri sana
    Ngoja tusubiri matokeo

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Hizi mechi zitakuwa ngumu ukiangalia kila mtu anatamani kupanda daraja na wanatofautiana point ndogo sana

    Jibu

    ligi ya mabingwa ulaya imebaki nne bora ..dah tunasubiri tuone nani

    Jibu

    Tunaisubiri kwa nguvu zote

    Jibu

    Iko poa sana hii droo#Meridianbettz

    Jibu

    Tunaingoja kwa hamu kubwa Sana hiyo robo fainali

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Michuano ya kibabe

    Jibu

    Robo fainali ya msimu huu ni moto wa kuakia mbali duuh..!sijui itakuaje

    Jibu

    hizi mechi zitakua hatari sababu kila mmoja atataka ashinde

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Lazima tupige pesa na meridianbet apo kwa cc wakali wakubashili

    Jibu

    Kwa fixture hiii ATLETICO Madrid wa wape kombe la LAO

    Jibu

    Hili kombe haijulikani mwenyewe nani

    Jibu

    gud news mambo ni moto na meridianbet

    Jibu

    PSG nawakubali

    Jibu

    Ipo poa hii

    Jibu

    Ratb nzur kabx

    Jibu

    Wako vzr psg

    Jibu

    Habar njema

    Jibu

    good newz

    Jibu

    Axante kwa taarifa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Droo imekaa poa.

    Jibu

    Imekaa poa sana#Meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.