Ulijua Sadio Mane Alitoroka Kwao Akacheze Soka?

Sadio Mane ni nyota msenegali anayekipiga klabuni Liverpool. Amekuwa na historia ya kipekee katika soka na aliamua kutengeneza picha ya hisitoria ya maisha yake hadi alipofanikiwa kucheza soka la kulipwa.

Sadio Mane Alitoroka Kwao Akacheze Soka!

Katika picha ya maisha yake, “Made in Senegal” Sane amejaribu kuuambia ulimwengu kuwa kila safari ya mafanikio huwa siyo rahisi. Alipitia changamoto kadhaa kufika alipofika, kuna baadhi ya mambio katika safari yake yanafurahisha na mengine yanatia majonzi lakini ni fursa ya kujifunza kila uchwao.

Baadhi ya mambo ambayo unaweza kuwa umeyasikia, ila haukuwa na uhakika kuhusu staa huyu, hapa baadhi ya vitu vilivyovutia wengi kuhusu maisha ya staa huyu ni kuwa aliwahi kutoroka nyumbani!

Staa huyu alilelewa zaidi na wajomba zake, na alisisitizwa zaidi kuwekeza bidii katika masomo. Familiya yake walikuwa wacha mungu na alikulia katika malezi haya ya kumcha mungu ya dini ya kiislamu.

Sadio Mane Alitoroka Kwao Akacheze Soka!
Katika Documentary ya maisha yake, ya “Made in Senegal” “Zao la Senegal” ameelezea panda shuka ya safari yake ya soka.

Kama ilivyo ada! Wazazi wanataka watoto wabukue, hiyo huwa ni furaha kwao! Mane alikuwa anapata majanga kila siku kwa sasbabu Mjomba wake alipendelea zaidi asome shule sio kucheza soka na alikuwa anamuwekea mazingira fulani ya kumzuia.

“Mjomba hakutaka nicheze nicheze kwa sababu alifikiri shule ndiyo ilikuwa muhimu zaidi. Mambo yalikuwa magumu kwa sababu hakupenda”

Sadio Mane

Mwaka 2008, akiwa na umri wa miaka 16 Sadio Mane alilazimika kutoroka kijijini kwao Bambali nchini Senegal ili akacheze soka tu! Lakini alikamatwa na kurejeshwa nyumbani. Nyumbani walikubaliana alikubaliana na familia yake kuwa mwaka unaofuata angeruhusiwa kucheza soka kadri apendavyo.

Mane ansema baada ya hapo ilikuwa ni “soka, soka, soka”! Yaaani soka kwa kwenda mbele!

50 Komentara

    Mapambano ya waafrika ….wacha awe mchezaji bora na mchaMUNGU aisee

    Jibu

    Muache awe mchezaji bora kapambana sana

    Jibu

    Kipaji anacho kikubwa tu …..

    Jibu

    Jamaa yuko vizuri…..

    Jibu

    Kweli kila Jambo Lina sababu zake Yani kutoroka kwake,kumemfanya kuwa bilionea duniani

    Jibu

    Sadio mane ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Yupo vizuri na ana kipaji Sanaa

    Jibu

    Afrika tunapambana sana hasa magharibi wanapambana sana huku mashariki tuko na uvivu uvivu

    Jibu

    Kipaji toka kwa mungu

    Jibu

    Mafanikio sio rahisi kama tunavyodhani

    Jibu

    Mafanikio siku zote hayako njia moja tuu maana hata mungu anaweza kukunyanyua kwa njia nyingine tofauti tunayo fikilia sisi binadam na ndio falsafa za watu wa Africa tunaamini shule pekee ndio inaweza kumkwamua mtu kwenye dimbwi la umaskin tunasahau kua mungu kua kila mwanadamu amempa njia zake za ridhik

    Jibu

    Mane mchezaji mwenye kipaji .. anafanya makubwa Sana pale Liverpool#meridianbettz

    Jibu

    Na amedhihilisha kwamba yeye kipaji cha mpira anacho maana ni mchezaji anaejituma sana

    Jibu

    Amezaliwa na kipaji chake

    Jibu

    Jamaa kipaji anacho

    Jibu

    Mane yupo vizuri huenda asingetoroka tusingemjua alipambania kipaji chake mpaka kufanikiwa

    Jibu

    kweli tujifunze kutambua vipaji vya watoto

    Jibu

    Anakipaji kizuri sana jamaa

    Jibu

    Jamaa yupo Bomba na anatambua nini anafanya

    Jibu

    Jamaa ni fundi mpira na piya huwa anatambua ancho kifanya uwajani

    Jibu

    Mane nimeikubali hisitolia yako uko vizuri sana na pia ulijitahidi kupambana

    Jibu

    Jamaa Yuko vizuri

    Jibu

    Waafrica sasahv tunajitahi sana tofauti na kipindi cha nyuma wazungu walitubuluza sana kwenye soka

    Jibu

    Asante kwa taarifa hii so tulikua hatujui kama mane kipaji chake toka moyoni mane alipambania sana kipaji chake hadi leo hii tunaisoma histor daah..!kweli ukipambania ndoto yako unafanikiwa kwa haina yake big up sadio mane

    Jibu

    Jamaha yupo vizuri nakipaji anacho

    Jibu

    Sadio mane soka soka ,soka daymuni

    Jibu

    Kiukweli yupo vizur sana

    Jibu

    Utoto ulikua una msumbua uyu kijana

    Jibu

    Kweli kabisa mafanikio hayaji kirahisi kabisa mane aliona kipaji chake mapema sana mpaka hasaivi anakuwa mchezaji bora historian yake inasisimua sana na kufundisha kuwa tusikate tamaa na kutokukubali ndoto zetu zisiweze kuzimwa.

    Jibu

    Kipaji alikitambua mapema ndo maana akatoroka na utundu umemsaidia Mane

    Jibu

    Masikini kumbe anahistoria jamaa kiukweli anafanya mambo mazuri sana.

    Jibu

    Mane mtu mbaya sana kwny soka

    Jibu

    MANE tumain jipya litakalochukuwah ballon d’or

    Jibu

    Hapa nimejifunza kuwa hatutakiwi kukata tamaa, Safi sana Mane the Dream chaser

    Jibu

    riziki ya mtu hupangwa na .mungu

    Jibu

    Huyo jamaa Yuko vizuri

    Jibu

    Dah hii ipo poa sanaa

    Jibu

    Ni maamuzi mazuri coz yamekupa mafanikio makubwa

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Kipaji moyoni

    Jibu

    Katika wachezaji ninaowakubal manw namkubali sana katika historia yake Mane alipotoka Senegal kwenda Ufaransa alijiunga na timu ya Metz mwaka 2011. Na kitu pekee alicho kipitia na kikampa wakati mgumu kwa mwezi January kule Ufaransa ni baridi. Mane alielezea jinsi wachezaji wenzake walivyo mshangaa baada ya kutoka na Sweta kwenye chumba cha kubadirishia nguo “walianza kucheka na sikujua wanacheka nini “ ikabidi awaulize “waka niambia inakuaje unavaa hivyo?”
    Mane anasema kipindi alichokipitia FC Metz ndio kimemfanya kua Mane tunae muona leo, Mwanzoni mwa utumishi wake pale Metz alipatwa na tatizo la nyonga ila hakuwahi kumwambia mtu yeyote kwasababu ya kuhofia kurudishwa Senegal.
    Hivyo safar yake ilikuwa yenye kuhamasisha sana

    Jibu

    Mane kipaji

    Jibu

    hongera sana Sadio Mane kwa kuhakikisha ndoto zako zinatimia

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Yuko vzur

    Jibu

    Ana kipaji kikubwa

    Jibu

    Senegal ina vipaji vingi sana ukiachilia mbali Saidio Mane. Wazazi wengi wanapenda sana watoto wasome si kucheza mpira#meridianbettz

    Jibu

    Mane kapambana Sana.

    Jibu

    Alifanya poa sana#Meridianbettz

    Jibu

    Jamaa anajua sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.