Klabu ya Serie A Genoa imetangaza watu kumi na nne katika klabu wamerudi na virusi vya Corona.
Visa hivyo vilikuwa ni kati ya wachezaji na watumishi wengine wa klabu baada ya mchezo dhidi ya Napoli siku ya Jumapili mchezo ambao Genoa ilichapwa 6-0.
“Klabu mefuata taratibu na itifaki na imetaarifu mamlaka zote zinazo husika. Klabu itatoa taarifa jinsi hali itakavyoendelea,” Genoa walisema kupitia maelezo siku ya Jumatatu.
Taarifa hii inamaanisha ratiba ya Jumamosi inayoonesha Genoa atakutana na Torino ipo kwenye shaka kubwa la kuhairishwa.
Lakini pia Inamaanisha Napoli watatakiwa kufanya vipimo kwa wachezaji wake kabla ya mchezo dhidi ya Juventus siku ya Jumapili.
Sampdoria pia imethibitisha kuwa mshambuliaji wao Keita Balde amekutwa na maambukizi ya COVID-19 na kwka sasa atafuata taratibu muhimu za kiafya ili kuepuka kusambaza virusi hiivyo hatari.
Mchezaji huyo alikuwa anatakiwa kujiunga na klabu ya Sampdoria akitokea Monaco kwa mkopo.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!


Hopemwaikuka
Huu ugonjwa jamani uishe tu
Lydia Emmanuel Magoti
Duu iligonjwa mbona linazidi kutapakaa kwa wachezaji siatari hiyo tumuombe mungu iligonjwa lisizidi kiwango kwasababu mpaka ligi itastop
Sauda
Corona noma
Dorophina
Hili gonjwa litasababisha mipira kufungiwa tuanze kupata tabu mungu tunusuru na huu ugonjwa
Tatu
Corona sio poa
Hidaya
Corona ni hatari sana
Zeiyana
Korona ishakua tishio kwa kweli
jullie
noma sana
magdalena
hili janga la corona sasa linataka kutufanya watu tufe na njaa mipira ikifungwa eh Mungu tutetee
Mwanahamisi
Colona noma
Angelina
Corona bado tishio
Fatuma kasomo
Duh hatari
Caroline
Daah corona noma
Rose kapinga
Corona ni jangaa
Gabriel
Habar ya kusikitisha sana
Sabrina
Duuh hatari sana jmn!
Samiah
Hatari jmn
Amiri Kayera
Dah apo itakua ngum kuchez mechi
Issa
Korona inatisha tujihadhar sana kwa wanamichezo
lombo
bad news
Shani
Lishakua janga la dunia
Adelta
Coronavirus sio poa
felister
duh
Saupha mohamed
Corona nomaa
Mwajumah
Daah kweli corona bado tishio dunian kote
Nasra
Corona hatari
Fatina
Corona Ni shida
Elika
Hili gonjwa lipite tuu
Latifa juma mohamed
Daah very hamrful and sad news.
Khadija
Corona tena jamani
aisha
Corona bado imewaganda wazungu
Rehema
Safi
Neema
Corona tishioo la dunia nzima
Ernest
Hatari sana
David Pere
Duu iligonjwa mbona linazidi kutapakaa kwa wachezaji siatari hiyo tumuombe mungu iligonjwa lisizidi kiwango kwasababu mpaka ligi itastop
Povel
Majanga kwl