Giorgio Chiellini amesema asingependa kuongeza neno katika uvumi unao endelea wa Suarez kutua katika klabu ya Juventus msimu mpya wa Serie A lakini hatoongeza uvumi wa Suarez kutua Juventus.
Juve waliripotiwa wamekuwa kwenye mazungumzo ya kumsaini Suarez aliyewahi kumuuma Chiellin katika michuano ya kombe la dunia mwaka 2014.
Suarez, Edin Dzeko na Moise Kean wote wamekuwa wakihusishwa kusajiliwa na mabingwa hao wa Serie A na kocha mpya wa Juventus Andrfea Pirlo amesema anahaitaji mshambuliaji wa kati haraka iwezekanavyo.
Nahodha wa timu hiyo Chiellini amesisistiza maneno yote sasa yanatosha katika mazungumzo kuwa hakuna haja ya kuongeza sababu tayari kuna Ronaldo, Dejan Kulusevski na Paulo Dybala
“Pirlo tayari ameweka kila kitu wazi,” Chiellini aliiambia Sky Sport Italia alipoulizwa kuhusu Suarez.
“Sitaki kuongeza kitu chochote, sina jibu.”
Chiellini Acheza dakika 45 za kwanza dhidi ya Novara
Mlinzi huyo alicheza kipindi cha kwanza Juventus ilipopata ushindi wa 5-0 katika mchezo wa kirafiki dhidi ya Novara aliandamwa na majeraha katika eneo la goti na maswala mengi ne ya kiafya msimu uliyopita .
“Msimu 2019-20 ulikuwa mgumu sana kwa uppande wangu ,”alisema Chiellini msimu huu unaonekana utakua mzuri, nipo vizuri kiafya na nisaidiana n na wachezaji wenzangu tukiwa uwanjani.
“Kuwa na timu yangu ya ataifa imenisaidia sana.”
Chiellini na Juventus wataanza mbio za kutetea ubingwa wa Scudetto katika msimu huu 2020-21 dhidi ya Sampdoria siku ya Jumapili.
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 36 alisema: “Tumeanza na Pirlo huku tukijua msimu mpya utakuwa mgumu kwa sababu hatuja pumzika vyema ukizingatia na mambo ya Lockdown.
“Lakini tupo vizuri na hatutaki kusubiri kuanza msimu mpya tuna muda mrefu mpaka kufikia matoeo ya mwisho lakini tutafanya vyema.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.
Theckla
Asante kwa taarifa
Tumaini kasalile
Asante kwa taarifa
Khadija
Akisema kasema hairudiw imeisha hiyoo#meridianbettz
Povel
Ngoj tuone hapo picha litaishAje kwn chielin na suarez ni maasimu wawil ila natumian pirlo hatawapanisha na watafAny kaz pamoja Kama wachezaj turin
Revina
Kunyamaza nalo ni jibu
Dorophina
Itakuwaje Kati chielin na Suarez ngoja tuone itakavyokuwa yetu macho tu
Mwajumah
Ngoja tuone apo picha litaishaje kwan chielin na suarez ni maasimu wawili#Meridianbettz
Sauda
Lakino Pirlo maneno ameyatupa!!!
Shani
Ngomaa ndo imeanza watu watazame na kutoa maono
Elika
Kaongea la moyoni
Zeiyana
Kikubwa wamalize ugomvi wao waangalie ya mbele na sio malumbano tena maisha ya mpira ndio yanavyo kua
Mwanahamisi
Kunyamaza nalo jibu tosha
Fatina mfigi
Kimya nalo jibu!!
magdalena
nasubiri wakati ujibu ndo muafaka utajulikana
Caroline
Wapatanishwe tu.ugomvi sio mzuri
aisha
Duuh majanga hayo soka linachangamoto nyingi sana
Rama
Mhhh sizani kama suarez anaweza kwenda juve
Sabrina
Mmmh hatari kwa kweli
Samira
Wajitahidi kumaliza tofauti zao waendelee na soka kwani mpira ni burudani
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Samiah
Asantee kwa taarifa
Gabriel
Chiellini amesisistiza maneno yote sasa yanatosha katika mazungumzo kuwa hakuna haja ya kuongeza sababu tayari kuna Ronaldo, Dejan Kulusevski na Paulo Dybala
“Pirlo tayari ameweka kila kitu wazi,” Chiellini aliiambia Sky Sport Italia alipoulizwa kuhusu Suarez.
“Sitaki kuongeza kitu chochote
Saupha mohamed
Mmmmh atalii
Hopemwaikuka
Imeeleweka
Amiri Kayera
Tusubir kuona
Genia Sikaluzwe
Ahsant kwa taarifa
Theonestina
Asante kwa taarifa
Ester jackson
Nasubiri kuona itakuwaje
Lydia Emmanuel Magoti
Duu ana subili majibu yajibiwe Napo sikuzote kukaa kimya kuzuri
farida ahmadi
Habari nzuri
Tatu
Wakae chini wamalize tofauti zao
felister
wapatanishwe ugomvi sio mzuri
Ernest
Suarez alitrend sana katika kombe la Dunia 2014, ilikuwa kitendo cha kusahngaza katika ulimwengu wa soka, Lakini kwa Suarez tayari tulishazoea mabalaa yake ata lile la kudaka na mwisho wa siku kuwa hero katika timu yake
David Pere
Chiellini amesisistiza maneno yote sasa yanatosha katika mazungumzo kuwa hakuna haja ya kuongeza sababu tayari kuna Ronaldo, Dejan Kulusevski na Paulo Dybala
“Pirlo tayari ameweka kila kitu wazi,” Chiellini aliiambia Sky Sport Italia alipoulizwa kuhusu Suarez.
“Sitaki kuongeza kitu chochote