Katwila afurahia ushindi

Kocha Msaidizi wa Ihefu, Zuber Katwila amefurahishwa na ushindi kwenye mchezo wa kwanza mzunguko wa pili dhidi ya Ruvu Shooting.

Ihefu walipata ushindi huo wa mabao 2-0 jana ijumaa kwenye mchezo wa ligi kuu uliopigwa katika Uwanja wa Azam Complex.

Katwila afurahia ushindi

Akizungumzia hali ya kikosi chake, Katwila alisema “Kwanza tunamshukuru Mungu kwa kupata pointi tatu kwenye mchezo wetu wa kwanza katika mzunguko wa pili.

“Nilivyoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo sikuongea maneno mengi bali niliwaambia tukiendelea kujiachia tutapoteza mchezo ila tukitumia nafasi tutaondoka na ushindi hivyo ninawapongeza kwa ushindi“.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.