Lyon ya Wanawake Yashinda Taji la Ligi ya Mabingwa

Timu ya wanawake ya Lyon imetwaa taji la nane la Ligi ya Mabingwa kwa kuitandika Barcelona ya wanawake mabao 3-1 siku ya Jumamosi katika dimba la Allianz Stadium.

Lyon walikuja kwenye mchezo huo wa fainali wakichukuliwa wanyonge baada ya upande wa Barcelona kuonekana wenye nguvu baada ya kupoteza mechi moja pekee kwa msimu huu ikijumuishwa na ushindi wa LaLiga.

Lakini mambo yalikwenda tofauti baada ya Amandine Henry kufunga bao zuri la kuongoza na fowadi huyo wa Norway kisha akamtengenezea Catarina Macario bao lingine.

Alexia Putellas aliipa Barcelona matumaini kabla ya mapumziko likiwa ni bao lake la 33 msimu huu na la 11 katika kampeni hii ya Ligi ya Mabingwa.

Kikosi cha Jonatan Giraldez kilifanya kila walichoweza kwa Lyon, ikijumuisha juhudi kubwa kutoka kwa Patricia Guijarro kutoka karibu hadi nusu ya goli, lakini Wafaransa walishikilia kidete kutwaa tena taji la Ulaya waliloshikilia mara ya mwisho mnamo 2020.


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe