Pan African Kuweka Mipango ya Usajili Kesho

UONGOZI wa Pan African unatarajia kufanya kikao cha viongozi na wanachama wa klabu hiyo kwa ajili ya kuweka mikakati ya msimu ujao. 
Pan ambayo inadhaminiwa na kampuni ya Meridianbet itashiriki michuano ya Championship kwa msimu ujao wa 2022/23.
Katibu wa Pan, Abbas Ally amesema kuwa
“Tutakuwa na kikao kesho, Alhamis kitakachohusisha wanachama na wadau wa Pan African kuanzia saa 4:00 asubuhi kwenye ukumbi wa Falcon Hotel, Lumumba, Dar.”
“Lengo la mkutano huo ni kujadili masuala mbalimbali yaliyojitokeza kwa msimu uliopita na kupanga mikakati ya msimu ujao pamoja na namna ya kuboresha kikosi chetu.”
Msimu uliopita ulikuwa una changamoto kwa klabu hii, bila shaka watajipanga vyema kurejea kwenye michuano ya Championship kwa msimu mpya.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.