Solskjaer - Pogba Bado Hajawa Fit Lakini Atarejea Vizuri.

Ole Gunnar Solskjaer amesema Paul Pogba bado hajawa sawa kabisa lakini atarejea tena dimbani akiwa vyema kwaajili ya kuimarisha safu ya kiungo kuwa bora na bora baada ya kushinda kwa mbinde 3-2 dhidi ya Brighton and Hove Albion siku ya Jumamosi.

Pogba hakuweza kuwa na pre-season iliyokamilika na United baada ya kugundulika kupata maambukizi ya virusi vya Corona mwezi uliyopita.

Solskjaer - Pogba Bado Hajawa Fit Lakini Atarejea Vizuri.
Kiungo wa United Paul Pogba.

Kiungo huyo wa Ufaransa aliukosa mchezo ambao Man United ilipokea kipigo cha 3-1 kutoka kwa Crystal Palace wakiwa katika dimba la Old Trafford lakini pia alitolewa dakika ya 65 katika mchezo dhidi ya Brighton katika dimba la Amex Stadium siku ya Jumamosi.

Bosi wa United Solskjaer amemtetea mchezaji huyo wa zamani wa Juventus, baada ya Bruno Fernandes kuisaidia timu ya Man United kujinyakulia alama zote tatu baada ya kufunga kupitia mkwaju wa penati, ndani ya dakika kumi muda wa nyongeza baada ya maamuzi VAR kipyenga cha mwisho kilipo pulizwa.

Solskjaer alisema: “Amekosa mechi nyingi wakati wa kujiandaa kuuanza msimu sababu ya kuumwa kwake, hakucheza michezo ya kimataifa pia hakuwepo kwenye mchezo dhidi ya Aston Villa.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

33 Komentara

    Pogba amekuwa kweny kiwango cha chin toka ahusishwe na kuhama united Ila atarejea

    Jibu

    Bado ajaonyesh makeke

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Huy pabile amekuw chin ya kiwango toka ahusishwe na kujiunga na madrid

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Angesubili tu awe fiti ndio arudi uwanjani

    Jibu

    Asnt kwa taarif

    Jibu

    Atakuwa fiti na atarejea kama zaman

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Pogba haanza vzr msimu huuu natumain soon hata kuwah fomu

    Jibu

    pogba anajituma sana hajali ata majeraha aliyokuwa nayo

    Jibu

    Naona mashabiki wa Man wamerudia tena kumtupia Pogba lawama wakati tulishaanza kusahau, Wamehama kwa De Gea wamerudi kwa Pogba, Kazi ipo mbona.

    Jibu

    Angesubili tu apone sawasawa awe fiti ndio alud uwanjani

    Jibu

    Asubir akae vizur ndo arud ili tuone maajab yake

    Jibu

    Pogba bado ajakawa sawa mashabiki wa man u wanamuitaji uwanjani

    Jibu

    Pgba ajiweke fiti ndo arud uwanjani

    Jibu

    Pole yaho mungu awafanyie wepesi waludi kwenye kazi yaho ya kisoka

    Jibu

    Pogba toka arudi man Chester hanamatokea mazuri

    Jibu

    Pogba kwa sas ameshuka kiwango chake sio yule bogba wa zamani

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Ni matumaini mazuri ya kujipa lakini kiwango cha uchezaji mpira kwa united bado ni kibovu

    Jibu

    Pogba subili ukae sawa ili urudi kwenye game tuone maajabu yako

    Jibu

    Atakaa sawa tu na kikubwa ajitume tu

    Jibu

    Inabid afanye bidii sana kweny mazoez ili ubora wake urud kama mwanzo

    Jibu

    Habari njm

    Jibu

    Pogba yuko vzur sana

    Jibu

    Soon pogba atarud kuonyesha makeke yake

    Jibu

    Namkubar Sana Pogba

    Jibu

    Pogba bado yuko vizuri

    Jibu

    Pogba yupo makini sana

    Jibu

    Pogba yk sawa

    Jibu

    angesubiri tu awe fiti ndo arejee tena uwanjani

    Jibu

    Solskjaer alisema: “Amekosa mechi nyingi wakati wa kujiandaa kuuanza msimu sababu ya kuumwa kwake, hakucheza michezo ya kimataifa pia hakuwepo kwenye mchezo dhidi ya Aston Villa.

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.