Wachezaji Watatu wa Inter Wakutwa na COVID-19.

Radja Nainggolan, Robert Gagliardini na Ionut Radu wote wamekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona baada kufanyiwa vipimo, klabu ya Inter imetangaza.

The Nerazzurri wametoa taarifa siku ya Ijumaa, siku nane kabla ya kuelekea mchezo wa debi ambapo watakabiliana na mahasimu wao Milan, wamesema wachezaji hao watatu walionesha dalili za kuwa na maambukizi ya COVID-19.

Vipimo kwa wachezaji hao vilifanyika klabuni katika makao makuu ya viwanja vya mazoezi vya Appiano Gentile.

“FC Internazionale Milano inatangaza kwamba Radja Nainggolan na Robert Gagliardini wamekutwa na maambukizi ya COVID-19 baada ya kufanyiwa vipimo Appiano Gentile siku za hivi karibuni,” Inter walisema.

“Ionut Radu pia amekutwa na maambukizi asubuhi ya leo (Ijumaa) baada ya kufanya zoezi la upimaji jana vipimo zaidi vitaendelea siku ya kesho.

Kiungo Gagliardini alianza katika michezo miwili iliyopita ya Serie A kwa Inter na alifanikiwa kufunga goli moja na kutoa asisti katika ushindi wa 5-2 wa Inter Milan dhidi ya Benevento mwezi Septemba 30.

Nainggolan alirejea San Siro msimu huu baada ya kutumia msimu uliyopita na Cagliari kwa mkopo, ingawa alicheza dakika 15 pekee akitokea benchi kwenye mchezo dhidi ya Fiorentina.

Mlinda mlango wa ziada Radu hajawahi kuanza kwenye michezo ya Serie A na alicheza mchezo pekee wa ligi katika timu ya Inter alitokea sub mwaka 2016.


Weka Pesa kwa Airtel Money!

Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!

Soma Zaidi

36 Komentara

    Huu ugonjwa ni balaa sana Mungu atusaidie

    Jibu

    Jamani corona kila siku

    Jibu

    Corona nomaa

    Jibu

    Hii covid19 mbona kama ndo inazid

    Jibu

    sad news

    Jibu

    Janga hili ni htr

    Jibu

    Dah poleni sana

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Covid 19 imekua ni tatizo sana kwenye soka

    Jibu

    Janga la dunia hlo COVid 19

    Jibu

    Hili janga jamanii aliishi

    Jibu

    Ni majanga huu ya majanga tu

    Jibu

    Coronavirus ni hatari sana tumwombe MUNGu atuepushe na hili gojwa

    Jibu

    Corona bado inaendlea kusumbua Italia na Spain kwa kiasi kikubwa sana

    Jibu

    Duu Corona bado ina umiza watu vichwa mungu awasaidie hao wachezaji

    Jibu

    Hongera kwa kupona

    Jibu

    Mungu awasaidie

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Inabidi wachezaji wawe makini na huu ugonjwa

    Jibu

    Awali timu nzima wangeenda karantini lkn kwa sasa anaenda yule tu aliyebainika kuwa na maambukizi#meridianbettz

    Jibu

    Mungu atawaponya

    Jibu

    duh

    Jibu

    Jamani ugonjwa huu ni janga la dunia poleni sana ndugu zetu

    Jibu

    Hongera

    Jibu

    Covid19 inalostisha mchezo wa mpila

    Jibu

    Mambo mengi sana yatabadilika kutoka na na ugonjwa huu

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    So bad story.

    Jibu

    Poleniii

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

    Covid 19 imekua ni tatizo

    Jibu

    Mambo mengi yatabadilika kutokana na ugonjwa huu

    Jibu

    Pole yao

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.